Nipo Busisi ashukuriwe Magufuli kwa kuona mbali ili maisha ya watu wa kawaida yawe mepesi

Nipo Busisi ashukuriwe Magufuli kwa kuona mbali ili maisha ya watu wa kawaida yawe mepesi

Mama Naa

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2020
Posts
453
Reaction score
1,104
Salaam.

Leo nimepata safari ya kuja kigongo Busisi aiseee ukiwa dar es salaam huwezi elewa umuhimu wa hili daraja.

Magufuli aliona mbali sana na alipenda maisha ya watu wa chini yawe na nafuu ndio maana miradi yake mingi ililenga watu wa hadhi ya chini kama Stendi (stend za mabus nchi hii ziliota kama uyoga kwenye uongozi wake) na haya madaraja.

Nimeona umuhimu wa hili daraja na Magufuli baada ya kukaa ferry saa moja na dakika 32 kuvuka tu umbali wa Km 3.2 aiseee.

Hongera zake Magufuli ameacha alama.

Rais Dr Samia Suluhu Hassan na wewe ujenge pale kivukoni (ferry) Jijini Dar es salaam uache alama kubwa Kwa Watanzania.
 
Hilo daraja ni moja kati ya miradi bora kabisa ya CCM. Pia kuna daraja la Simiyu, naona ujenzi umeanza

Sasa wajikite kutengeneza barabara ya Mwanza-Musoma, na Mwanza-Shinyanga
 
Salaam.

Leo nimepata safari ya kuja kigongo Busisi aiseee ukiwa dar es salaam huwezi elewa umuhimu wa hili daraja.

Magufuli aliona mbali sana na alipenda maisha ya watu wa chini yawe na nafuu ndio maana miradi yake mingi ililenga watu wa hadhi ya chini kama Stendi (stend za mabus nchi hii ziliota kama uyoga kwenye uongozi wake) na haya madaraja.

Nimeona umuhimu wa hili daraja na Magufuli baada ya kukaa ferry saa moja na dakika 32 kuvuka tu umbali wa Km 3.2 aiseee.

Hongera zake Magufuli ameacha alama.

Rais Dr Samia Suluhu Hassan na wewe ujenge pale kivukoni (ferry) Jijini Dar es salaam uache alama kubwa Kwa Watanzania.
Ferry daraja si lipo kigamboni
 
Salaam.

Leo nimepata safari ya kuja kigongo Busisi aiseee ukiwa dar es salaam huwezi elewa umuhimu wa hili daraja.

Magufuli aliona mbali sana na alipenda maisha ya watu wa chini yawe na nafuu ndio maana miradi yake mingi ililenga watu wa hadhi ya chini kama Stendi (stend za mabus nchi hii ziliota kama uyoga kwenye uongozi wake) na haya madaraja.

Nimeona umuhimu wa hili daraja na Magufuli baada ya kukaa ferry saa moja na dakika 32 kuvuka tu umbali wa Km 3.2 aiseee.

Hongera zake Magufuli ameacha alama.

Rais Dr Samia Suluhu Hassan na wewe ujenge pale kivukoni (ferry) Jijini Dar es salaam uache alama kubwa Kwa Watanzania.
Tatizo kubwa la sisi watanzania ni ubinafsi na upeo finyu. Tunawakuwa wa kutoa sifa kwa kutumia vigezo vidogo vya kibinafsi tena pale tunapofaidika tu. Kna faida gani kujenga daraja wakati Magufuli alivuruga nchi kwa kuasisi mfumo wa kupora kura na mauaji? Hayo yanayofuta hata hayo madogo aliyofanya.
 
Hujawahi kukubali jambo lolote lililofanywa na chama ambacho haukiungi mkono!
Sitaki uchuro
Sitaki dhambi
Sitaki kuwa mnafiki.. Nyeupe naita nyeupe.. Nyekundu naita nyekundu
BTW jambo gani kwamfano la kuunga mkono hapa🤬
 
Tatizo kubwa la sisi watanzania ni ubinafsi na upeo finyu. Tunawakuwa wa kutoa sifa kwa kutumia vigezo vidogo vya kibinafsi tena pale tunapofaidika tu. Kna faida gani kujenga daraja wakati Magufuli alivuruga nchi kwa kuasisi mfumo wa kupora kura na mauaji? Hayo yanayofuta hata hayo madogo aliyofanya.
Kabla ya yeye kulikua hana wizi wa kura labda?
 
Salaam.

Leo nimepata safari ya kuja kigongo Busisi aiseee ukiwa dar es salaam huwezi elewa umuhimu wa hili daraja.

Magufuli aliona mbali sana na alipenda maisha ya watu wa chini yawe na nafuu ndio maana miradi yake mingi ililenga watu wa hadhi ya chini kama Stendi (stend za mabus nchi hii ziliota kama uyoga kwenye uongozi wake) na haya madaraja.

Nimeona umuhimu wa hili daraja na Magufuli baada ya kukaa ferry saa moja na dakika 32 kuvuka tu umbali wa Km 3.2 aiseee.

Hongera zake Magufuli ameacha alama.

Rais Dr Samia Suluhu Hassan na wewe ujenge pale kivukoni (ferry) Jijini Dar es salaam uache alama kubwa Kwa Watanzania.
Vipi maisha ya raia? Ethiopia wana project kubwa kuliko hizo za Busisi ila raia wana maisha magumu sana ni juzi kati Waziri mkuu wao amenza kushituka na kuanza kuja na project za maisha ya watu.

Ukivuka kuingia Sengerema hapo life ni gumu sana, unauona umasikini kwa macho.
 
Hilo daraja ni moja kati ya miradi bora kabisa ya CCM. Pia kuna daraja la Simiyu, naona ujenzi umeanza

Sasa wajikite kutengeneza barabara ya Mwanza-Musoma, na Mwanza-Shinyanga
Sikiliza wewe mjinga Ethiopia walikuwa na Project kubwa kuliko hizo, ila raia wakawa wanakimbia sana nchi, mpaka baadse Waziri mkuu wao amenza kuja na Projects za kuondoa umasikini na very soon hamtawaona wa ethiooia wanakimbia nchi tena.

Sasa wa hadae wajinga wa hili Taifa, Projects kubwa sana ila life la watu ni gumu sana ina maana gani?
 
Tatizo kubwa la sisi watanzania ni ubinafsi na upeo finyu. Tunawakuwa wa kutoa sifa kwa kutumia vigezo vidogo vya kibinafsi tena pale tunapofaidika tu. Kna faida gani kujenga daraja wakati Magufuli alivuruga nchi kwa kuasisi mfumo wa kupora kura na mauaji? Hayo yanayofuta hata hayo madogo aliyofanya.
Sio tu kuvuruga, jiulize hali za maisha za wananchi wake, nenda tu jimboni kwake uone umasikini, nebda Geita vijijini, nenda huko Sengerema, shida Wabongo hawatembei.

Ethiopia wana project kubwa mno kukilo hizo ila raia wanakimbia nchi Daily.

Watanzania wana hadaiwa sana na miradi ya vitu ilihali wao wakiwa na maisha magumu sana.
 
Stendi ili kuwasaidia watu wa chini.
Watu wa chini wapi? Mbona Porverty ni kubwa sana sikiliza nyie vilaza, Miradi ya vitu haiondoi umasikini. China wana Projects za aina mbili za Miundo mbinu na projects za kuondoa umasikini kwa raia wao, the same na India.

Nyie vilaza wa Taifa mnahadaiwa na miradi ya miundo mbinu ilihali pembeni tu ya mradi kuna umasikini wa kutisha.
 
Peleka takataka yako uko unatujazia server kwa kulisifia hilo kenge la chato ndio limeharibu hii nchi
Punguza hasira mkuu.Hivi wakinzani wa CCM wanaruhusiwa kupita kwenye hilo daraja?Maana kuna mmoja humu JF aliomba wakinzani wa CCM wasipande treni ya SGR!
 
Back
Top Bottom