Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una tamaaa, anza mdogo mdogo jf hatuna kitendo cha abiria wa boltNaombeni ushauri. Nina bodaboda yangu nipo Dar vipi nikifunga Bolt itaweza kuniingizia walau elfu 40 kwa siku au nikae kijiweni?
Karibu mkuu kwenye hii dunia yetu ya uafisaa usafirishaji.Naombeni ushauri. Nina bodaboda yangu nipo Dar vipi nikifunga Bolt itaweza kuniingizia walau elfu 40 kwa siku au nikae kijiweni?