Alejandroz
JF-Expert Member
- Feb 14, 2017
- 329
- 413
Kuna jamaa anayo moja anaisifu kweliHabari great thinkers
Nina boxer bm 150 niliyoitumia kwa miaka takribani 7 (84,000km mileage) sasa kuna mtu katokea anaitaka kwa 1,700,000/=
Full charge inatembea km 60 alafu speed mwisho 50 hiyo Batavuzi ya kuchezea watoto. Boxer chuma ya kazi.Achana na hizo pikipiki za kutumia umeme ni majanga.
Kamba za kulalia kabisa hizi[emoji3][emoji3]Duh BM noma miaka 7 na bado unaweza iuza Mil 1.7
Tunaongelea 2017 hivi.. 😁😁Kamba za kulalia kabisa hizi[emoji3][emoji3]
Too much sasaakribani miaka 7 (84,000km mileage) sasa
Sasa nilikuw
Sio mtu wamasafa kiivo mishe zangu ni hapa hapa mjini,, Sasa
Sasa nipo dilema je niuze hii Boxer au niache,, naomba ushauri wako mwanafamilia mwenzangu
Nikudanganye wewe ili nipate faida gani bosiKamba za kulalia kabisa hizi[emoji3][emoji3]
Emphatic way...!😎Too much sasa
Ukianza kuendesha hako ka-batavoos utaonekana kama unaenda kuuza barafu shuleni.Achana nayo.Nikudanganye wewe ili nipate faida gani bosi
Vpi kuhusu gharama za mafuta na charge mkuu?Dah mie nina BM 150 Ina miaka wa 9 sasa imesimama kuna jamaa aliniletea idea kama yako nikafikiria faida na hasara nikaachana nae chombo inatembea popote naenda bila kufuria charge
Vipi gharama za uendeshaji mkuuUkianza kuendesha hako ka-batavoos utaonekana kama unaenda kuuza barafu shuleni.Achana nayo.
Binafsi ninaipenda sana boxer yangu bm 150 Ina nguvu popote itume inafika kuhusu mafuta sio sana ni kawaida tu labda kwa kuwa sijawahi kumiliki pikipiki aina nyingine tofauti na hii lakini mie naitumia kwa matumizi yangu binafsi na sio bodaboda hivyo mara nyingi nipo makini kwenye service na matengenezo mengine madogomadogo kuhusu hivyo vya kucharge naona hivyo luxury sana halafu havina speed unapobidi kwenda speed lakini naona kana advantage ndogo kuliko disadvantageVpi kuhusu gharama za mafuta na charge mkuu?
Hakuna kisicho na gharama hapo.Na ukitaka sana vitu rahisirahisi kuna gharama pia.Boxer utaitumia muda mrefu kwa kazi/huduma ngumu na nyingi.Wakati scooter utatumia gharama ndogo ila haidumu muda mrefu(enduro/durable) kila muda mfupi utatakiwa ununue vifaa au yenyewe mpya.Chagua.Vipi gharama za uendeshaji mkuu
Ninayo BM 150, ni nzima kabisa inasoma 55,000km,Cha msingi cheza na oil,oil filter na serviceKamba za kulalia kabisa hizi[emoji3][emoji3]