Nipo Geita...Natafuta mchumba.


Tunajua uko serious wataka jiko. Lakini waonekana uko too SERIOUS kama wameza shubiri vile utoavyo makavu. Waambie unamiliki kivuko cha Kamanga waje ujichagulie kama King Mswati.
 
Tunajua uko serious wataka jiko. Lakini waonekana uko too SERIOUS kama wameza shubiri vile utoavyo makavu. Waambie unamiliki kivuko cha Kamanga waje ujichagulie kama King Mswati.

Umeona mkuu... Lazima aweke wazi MaATM, MaTEMBO card, MaHandaki, Mikoko n.k!!!
 
Premature sana ku_expose vitu kama hivyo na ni vigumu sana kumpata mwenye mapenz ya kweli kwa dizaini hiyo!

Hahahaaaa.... Usijali mkuu, mie nilikuea nachangamsha jukwaa!

Any way kila la heri...!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…