Mpwayungu Village
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 14,540
- 30,875
🤣🤣Weee, sema kweli?Oya wahuni tusogee mitaa hii tupige Vitu vya baridi mpaka majogoo, njooni tu join wadau wa jamiiforum tujuane zaidi
Fika manzese kituo kinaitwa manzese darajani uliza bar ya mkwere, panaitwa Kwa mkwere nipo humu hata kama huna pesa we njoo nitanunua mabapa matatu ya KVANT
Muhuni ni mtu wa aina gani?Oya wahuni tusogee mitaa hii tupige Vitu vya baridi mpaka majogoo, njooni tu join wadau wa jamiiforum tujuane zaidi
Fika manzese kituo kinaitwa manzese darajani uliza bar ya mkwere, panaitwa Kwa mkwere nipo humu hata kama huna pesa we njoo nitanunua mabapa matatu ya KVANT
NdioNa sisi walimu wa primary tunaruhusika kujumuika na wewe?
Waje kama wana huo ubavu, ni matahila tuNawaomba walimu wote wa Jijini mfunge safari haraka mkamshughulikie huyu kijana. Maana amekuwa akiwatukana sana humu jukwaani, tena bila ya sababu yoyote ile ya msingi.
Ni zetu mkuuWalimu wanakunywa pesa za mikopo.
NIpo Rombo View napunguza strressOya wahuni tusogee mitaa hii tupige Vitu vya baridi mpaka majogoo, njooni tu join wadau wa jamiiforum tujuane zaidi
Fika manzese kituo kinaitwa manzese darajani uliza bar ya mkwere, panaitwa Kwa mkwere nipo humu hata kama huna pesa we njoo nitanunua mabapa matatu ya KVANT
Sogea mbele kidogo kituo kinachofataNIpo Rombo View napunguza strress