Prince Kunta
JF-Expert Member
- Mar 27, 2014
- 22,797
- 28,904
Kama hakuwekeza kushneiLusekelo ilishachoka toka siku nyingi sana.
Na sasa waumini ndio wamemchoka pia. Jamaa kwa sasa ana hasira, sadaka zimepungua kupita maelezo.
😂😂😂😂 Amekasirishwa na nini?
Kisha ji sanitize na mijikonyagi yakeHabari wakuu...
Nipo hapa ninasikiliza Lusekelo chanel 10..
Nimeshindwa kumuelewa hata anachozungumza.
Hakuna kifungu hata kimoja cha bible anatumia.
Anaongea kwa jazba hadi kutukana kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app
Ki biblia ....yes..Adam na binadamu wote waliumbwa na YESU.Jana kuna mwanangu kanihubiria alinithibitishia kwamba hata nabii Adam aliumbwa na yesu nikasema mmmh huyu bwana yupo sawa kichwani au kakaririshwa matango pori.?? Lusekelo anasemaje huko
Endelea kumuangalia kila Siku utamuelewa tu. Usisahau kuandika namba za M-Pesa hapo chini!Habari wakuu...
Nipo hapa ninasikiliza Lusekelo chanel 10..
Nimeshindwa kumuelewa hata anachozungumza.
Hakuna kifungu hata kimoja cha bible anatumia.
Anaongea kwa jazba hadi kutukana kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app
Yesu Muarabu wa Israel, Mtume Muddy muarabu wa Saudi Arabia. PoleniKi biblia ....yes..Adam na binadamu wote waliumbwa na YESU.
YESU alishiriki kwenye uumbaji wa dunia akiwa na MUNGU...ndio mana kitabu cha mwanzo pale kwenye uumbaji kinatumia kauli ya wingi mfano "Na tuumbe mtu kwa mfano wetu"
Maana ake waumbaji walikua zaidi ya mmoja...
Mengi zaidi waweza ni inbox
Sent using Jamii Forums mobile app
Itakuwa corona
Hata kama nikiwa na umwa na corona uwez niambia yesu alimuumba adamu nikakuacha uendeleze huu upuzi kwani sote atujui yesu alizaliwa akalelewa kama bina adamu wengine? Kipindi yupo mdogo ndio anakuwa watu walikuwa wakimuomba na kumuabudu kwa namna gani?????? Unajua yesu alikuwa anakula anakunywa anaenda chooni na mpaka alifanyiwa tohara sasa mtu kama huyu anawezaje kuhusika katika uumbaji wakiristo tuache kujitengenezea concept zetu ili kumpa yesu credit asizo husika nazo yesu alikuwa mjumbe tu suala la uungu mnamsingizia aiseeee acheni huo ujinga tumewavumilia tumewachoka sasaKi biblia ....yes..Adam na binadamu wote waliumbwa na YESU.
YESU alishiriki kwenye uumbaji wa dunia akiwa na MUNGU...ndio mana kitabu cha mwanzo pale kwenye uumbaji kinatumia kauli ya wingi mfano "Na tuumbe mtu kwa mfano wetu"
Maana ake waumbaji walikua zaidi ya mmoja...
Mengi zaidi waweza ni inbox
Sent using Jamii Forums mobile app