Nipo hapa niulize swali lolote la jinai

Nipo hapa niulize swali lolote la jinai

ODILI SAMALU

JF-Expert Member
Joined
Dec 13, 2013
Posts
1,369
Reaction score
489
wakuu nimeanzisha uzi wa kutoa darasa la masuala ya jinai karibuni kwa maswali na mjadala kwa ujumla.
 
Hivi makosa yana makundi mangapi maana mi nayajua ya jinai tu, mengine ni yepi?
 
wakuu nimeanzisha uzi wa kutoa darasa la masuala ya jinai karibuni kwa maswali na mjadala kwa ujumla.

kutokana na vitendo vya raia kujichukulia sheria mikononi,wamekua waki ua mpaka wasio na hatia kwa kwavile wengine huwa wana wahisi tu,je ikibainika kikundi cha watu wameua asiye na hatia ,sheria ya makosa ya jinai ina semaje kuhusu hili?
Je kitatiwa hatiani kikundi au ukoo mzima?au wata geuziwa kibao police kwakuto toa elimu ya kutosha kwa raia kuhusiana na utii wa sheria bila shuruti?
 
Hivi makosa yana makundi mangapi maana mi nayajua ya jinai tu, mengine ni yepi?

nnavyo elewa kuna makosa ya aona mbili ,
MAKOSAYA JINAI,NA MAKOSA YA MADAI,
JINAI NIKAMA VILE ,KUUA,WIZI,KUTOA LUGHA YA MATUSI,WIZI WAKUAMINIWA.UBAKAJI.N.K

NAMADAI NIKAMA VILE.
MGAWANYO WA MALI,MADENI BINAFSI ,AU KAMPUNI.
 
kutokana na vitendo vya raia kujichukulia sheria mikononi,wamekua waki ua mpaka wasio na hatia kwa kwavile wengine huwa wana wahisi tu,je ikibainika kikundi cha watu wameua asiye na hatia ,sheria ya makosa ya jinai ina semaje kuhusu hili?
Je kitatiwa hatiani kikundi au ukoo mzima?au wata geuziwa kibao police kwakuto toa elimu ya kutosha kwa raia kuhusiana na utii wa sheria bila shuruti?
...ni kosa la jinai, kwa mtu yoyote, au kikundi cha watu kujichukulia sheria yoyote ya jinai mkononi. ni kosa kumuua mtu hata kama ana hatia, mahakama ndiyo chombo pekee cha kutoa uamuzi
 
wakuu nimeanzisha uzi wa kutoa darasa la masuala ya jinai karibuni kwa maswali na mjadala kwa ujumla.

Ardhi Ya Makadhi Kuthaminishwa Na Kulipwa Sh.Mia Hamsini Kwa Mita Skwea Moja Pale Nzega Mwaka Jana Je Sheria Haikuvunjwa Hapo? Na Nini Kifanyike?
 
Ni nani we kakupa dhamana ya kijibu? Aliomba maswali yupo kimya. Wabongo bhana.
...ni kosa la jinai, kwa mtu yoyote, au kikundi cha watu kujichukulia sheria yoyote ya jinai mkononi. ni kosa kumuua mtu hata kama ana hatia, mahakama ndiyo chombo pekee cha kutoa uamuzi
 
Na civil case inaangukia wapi?

(halafu hebu tuma pm kwa Invisible akubadilishie jina bwana. Ni junior lecturer;note the first L and the last R)
nnavyo elewa kuna makosa ya aona mbili ,
MAKOSAYA JINAI,NA MAKOSA YA MADAI,
JINAI NIKAMA VILE ,KUUA,WIZI,KUTOA LUGHA YA MATUSI,WIZI WAKUAMINIWA.UBAKAJI.N.K

NAMADAI NIKAMA VILE.
MGAWANYO WA MALI,MADENI BINAFSI ,AU KAMPUNI.
 
Last edited by a moderator:
Na civil case inaangukia wapi?

(halafu hebu tuma pm kwa Invisible akubadilishie jina bwana. Ni junior lecturer;note the first L and the last R)

Duh una macho, hongera sana. Hivi kweli lecturer aweza kosea kiasi hiki? This is not an error, it is a MISTAKE
 
Last edited by a moderator:
Fatal mistake hehehe.
i do a lot of proffessional writings. Nina barua ya mwaliko wa forum fulani, my ex- colleague kanitumia. Eti meeting will start at 3 am! I was like whaaaat! Aibu kweli na nna hakika katuma kwa watu kama 500 na atagawa business cards zake ili tujue he is the dumb one lol
Duh una macho, hongera sana. Hivi kweli lecturer aweza kosea kiasi hiki? This is not an error, it is a MISTAKE
 
Ni nani we kakupa dhamana ya kijibu? Aliomba maswali yupo kimya. Wabongo bhana.

...mkuu kwani Kuna shida gani mimi nikijibu, ikiwa mtu kauliza swali? Mleta Uzi karuhusu mijadala kwa ujumla, au WW haujasoma huo Uzi vvizuri?. Zaidi ya yote, sijajibu vibaya. Kwani WW ulitakaje labda, au ulijisikia Tu kupost?
 
Makosa ya jinai tanzania yapo kwenye kanuni ya adhabu ambayo inamakosa yote ya jinai na adhabu zake kama offences against morality mfano ubakaji,un natural offences,incest,defilement of imbecile and ------, offences against liberty,treasonable offences,accessory after the fact,murder&manslaughter,defences against any criminal liability eg.mistake of fact,insanity,intoxication n.k
 
Kesi za jinai huwa ni REPUBLIC versus y, na kesi zote za jinai lazima kuwe na muendesha mashtaka (prosecutor) ,wakati kesi za madai huwa ni mtu na mtu mfano P versus Y
 
Hivi makosa yana makundi mangapi maana mi nayajua ya jinai tu, mengine ni yepi?

MAKOSA YA JINAI YAMEGAWANYWA kwenye kanuni ya adhabu (PENAL CODE CAP 16 R.E 2002) Kwa Chapter mbalimbali mfano offence against morality e.g rape(section 130,defilement of imbecile), Unatural offence section154 OF THE PENAL CODE na pia kuna sheria ambayo inatoa muongozo ni jinsi gani kesi za jinai ziendeshwe inaitwa CRIMINAL PROCEDURE ACT CAP 20 R.E 2002, kwa upande wa kesi za madai yaani CIVIL CASES ni kama mambo yahusuyo madeni,mikataba,bima,uuzaji wa bidhaa n.k na kuna sheria inayotoa muongozo ni jinsi gani kesi za madai ziendeshwe inaitwa CIVIL PROCEDURE CODE
 
MAKOSA YA JINAI YAMEGAWANYWA kwenye kanuni ya adhabu (PENAL CODE CAP 16 R.E 2002) Kwa Chapter mbalimbali mfano offence against morality e.g rape(section 130,defilement of imbecile), Unatural offence section154 OF THE PENAL CODE na pia kuna sheria ambayo inatoa muongozo ni jinsi gani kesi za jinai ziendeshwe inaitwa CRIMINAL PROCEDURE ACT CAP 20 R.E 2002, kwa upande wa kesi za madai yaani CIVIL CASES ni kama mambo yahusuyo madeni,mikataba,bima,uuzaji wa bidhaa n.k na kuna sheria inayotoa muongozo ni jinsi gani kesi za madai ziendeshwe inaitwa CIVIL PROCEDURE CODE

we bwana Acha hii mafunzo yako yanapotosha Wananchi. makosa ya jinai yanasimamiwa na Sheria Nyingi sana hiyo Penal Code ni moja tu,.Ebu tuambie makosa ya rushwa,uhujumu uchumi, uchakachuaji vyakula, madawwa ya kulevya, toros haji fedha, ugaidi nk ni makosa ya aina gani.? kwenye Penal code yapo?. Na kesi za uchaguzi au za Katiba unazichanganua kwenye kundi lipi.?
 
...ni kosa la jinai, kwa mtu yoyote, au kikundi cha watu kujichukulia sheria yoyote ya jinai mkononi. ni kosa kumuua mtu hata kama ana hatia, mahakama ndiyo chombo pekee cha kutoa uamuzi

Ndo Yaleyale.Sasa Jibu Lako Hilo Linautofauti Gani Na Mtu Ambae Siyo Mwanasheria? Unapaswa Ujitofautishe Na Yule Ambae Si Mwanasheria, Mfano,katika Jibu Lako Hilo Hapo Juu Ungeweza Kutaja Na Kunukuu Kifungu Cha Sheria Husika Inayokataza Mtu Kujitwalia Sheria Mkononi,lakini Umeshindwa, Sasa Hilo Jibu Halina Tofauti Ya Wewe Mwanasheria Na Yule Ambae Si Mwanasheria!
 
...mkuu kwani Kuna shida gani mimi nikijibu, ikiwa mtu kauliza swali? Mleta Uzi karuhusu mijadala kwa ujumla, au WW haujasoma huo Uzi vvizuri?. Zaidi ya yote, sijajibu vibaya. Kwani WW ulitakaje labda, au ulijisikia Tu kupost?

Ingekuwa Ni Assigment Ningekupa Mbili Ya Kumi Kwa Kutotaja Chanzo Au Vifungu Vinavyohusika Na Sheria Hy Ili Kazi Yako Ya Kikademiki Ijitofautishe Kazi Isiyo Ya Kikademiki Au Kitaalam
 
Back
Top Bottom