Nipo hapa uwanja wa fisi manzese natafuta mke

Nipo hapa uwanja wa fisi manzese natafuta mke

Makonde plateu

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2022
Posts
1,443
Reaction score
3,480
Mwadila

Wakuu nipo hapa uwanja wa fisi hapa manzese kutokea jana usiku saa nne kamili mpaka mida hii nikitafuta mke wa kumuoa hawa machangudoa.

Kuna mdau wangu mmoja aliwahi niambia eti machangaduo ukiwaoa wanatulia kwenye ndoa sana kwasababu yeye ameoa changudoa tena amemtoa pale mwananyamala yeye ni kabila fulani la mkuu wa humu jukwaani.

Kwahiyo nipo hapa tokea saa nne usiku nasikilizia kama nikimpata nikamtolee mahari ila sema budget yangu ya mahari ni mwisho 250000 tu kwa sababu na mimi hali yangu ni tia tia maji.

Jana kuna mmoja niliongea nae na akaelewa ombi langu ila akaniambia nimsikilizie akapigwe show au akagegedwe kwanza then nitaondoka nae kwenda kutambulishwa kwao ila mpaka sasa sijamuona na aliniambia yeye ni kabila fulani hivi toka kaskazini mwa Tanzania la mkuu fulani hivi wa elimu Tanzania.

Wadau kama kuna mtu ana namba ya demu wowote wa hapa uwanja wa fisi anishitue ilanitapambana hapa mpaka kieleweke mpaka nitoke na jiko hapa.

Nawasilisha
 
Kama una moyo wa chuma oa ila Usisahau hii kauli wanasemaga "ulinipenda kama nilivyo", au ile wanasemaga ""kwani ulikua hujui""

Nb.. neno ILA, ni lazima lifanye kazi siku zote za maisha yako
 
Nmesoma title TU, nmeishia kucheka
images-512.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nasi
Mwadila

Wakuu nipo hapa uwanja wa fisi hapa manzese kutokea jana usiku saa nne kamili mpaka mida hii nikitafuta mke wa kumuoa hawa machangudoa.

Kuna mdau wangu mmoja aliwahi niambia eti machangaduo ukiwaoa wanatulia kwenye ndoa sana kwasababu yeye ameoa changudoa tena amemtoa pale mwananyamala yeye ni kabila fulani la mkuu wa humu jukwaani.

Kwahiyo nipo hapa tokea saa nne usiku nasikilizia kama nikimpata nikamtolee mahari ila sema budget yangu ya mahari ni mwisho 250000 tu kwa sababu na mimi hali yangu ni tia tia maji.

Jana kuna mmoja niliongea nae na akaelewa ombi langu ila akaniambia nimsikilizie akapigwe show au akagegedwe kwanza then nitaondoka nae kwenda kutambulishwa kwao ila mpaka sasa sijamuona na aliniambia yeye ni kabila fulani hivi toka kaskazini mwa Tanzania la mkuu fulani hivi wa elimu Tanzania.

Wadau kama kuna mtu ana namba ya demu wowote wa hapa uwanja wa fisi anishitue ilanitapambana hapa mpaka kieleweke mpaka nitoke na jiko hapa.

Nawasilisha
Nasikia pale Ubungo Riverside karibu na ile hotel ya S H Amoni kuna wanawake wazuri waliotulia ambao hakika wanafaa kuwa wake za watu sema sijui kwa nini wameamua kutumia viungo vyao vya chini kutafuta maisha ila jaribu na pale unaweza pata muhitaji mwenye elimu ila hakikisha ukimpata yaani mpe mimba faster na uhakikishe mimba haitolewi kabisa maake nasikiwa wale hakika ni viumbe vinavyooungoza kuuwa viumbe wadogo ili waendelee kuwa sokoni Jaribu hapo mkuuu
 
Mwadila

Wakuu nipo hapa uwanja wa fisi hapa manzese kutokea jana usiku saa nne kamili mpaka mida hii nikitafuta mke wa kumuoa hawa machangudoa.

Kuna mdau wangu mmoja aliwahi niambia eti machangaduo ukiwaoa wanatulia kwenye ndoa sana kwasababu yeye ameoa changudoa tena amemtoa pale mwananyamala yeye ni kabila fulani la mkuu wa humu jukwaani.

Kwahiyo nipo hapa tokea saa nne usiku nasikilizia kama nikimpata nikamtolee mahari ila sema budget yangu ya mahari ni mwisho 250000 tu kwa sababu na mimi hali yangu ni tia tia maji.

Jana kuna mmoja niliongea nae na akaelewa ombi langu ila akaniambia nimsikilizie akapigwe show au akagegedwe kwanza then nitaondoka nae kwenda kutambulishwa kwao ila mpaka sasa sijamuona na aliniambia yeye ni kabila fulani hivi toka kaskazini mwa Tanzania la mkuu fulani hivi wa elimu Tanzania.

Wadau kama kuna mtu ana namba ya demu wowote wa hapa uwanja wa fisi anishitue ilanitapambana hapa mpaka kieleweke mpaka nitoke na jiko hapa.

Nawasilisha
Unatafuta mke au unatafuta magonjwa?
 
Kilala heri ndugu yangu ....ila uwe na moyo mgumu ukimpata napia usiwe mtu wa wivu, hasira wala hisia kali
 
Mwadila

Wakuu nipo hapa uwanja wa fisi hapa manzese kutokea jana usiku saa nne kamili mpaka mida hii nikitafuta mke wa kumuoa hawa machangudoa.

Kuna mdau wangu mmoja aliwahi niambia eti machangaduo ukiwaoa wanatulia kwenye ndoa sana kwasababu yeye ameoa changudoa tena amemtoa pale mwananyamala yeye ni kabila fulani la mkuu wa humu jukwaani.

Kwahiyo nipo hapa tokea saa nne usiku nasikilizia kama nikimpata nikamtolee mahari ila sema budget yangu ya mahari ni mwisho 250000 tu kwa sababu na mimi hali yangu ni tia tia maji.

Jana kuna mmoja niliongea nae na akaelewa ombi langu ila akaniambia nimsikilizie akapigwe show au akagegedwe kwanza then nitaondoka nae kwenda kutambulishwa kwao ila mpaka sasa sijamuona na aliniambia yeye ni kabila fulani hivi toka kaskazini mwa Tanzania la mkuu fulani hivi wa elimu Tanzania.

Wadau kama kuna mtu ana namba ya demu wowote wa hapa uwanja wa fisi anishitue ilanitapambana hapa mpaka kieleweke mpaka nitoke na jiko hapa.

Nawasilisha
Stressed Man.
 
Back
Top Bottom