Mamujay
Senior Member
- Dec 24, 2022
- 149
- 345
Niko hospitalI ya Serikali mgonjwa wangu amefanyiwa operation juzi usiku saa nne, hospitali iko jirani na Kariakoo,
Kutoka nimeambiwa haiwezekani.
Kutoka nimeambiwa haiwezekani.
- Mpaka either tuchangie damu,
- Tulipe tena wakati tulishalipa hela ya kujifungulia laki 1
- Au wemesema tusaini kama tunaondoka na mgonjwa kwa ridhaa yetu.