Fiziolojia
JF-Expert Member
- Oct 19, 2019
- 815
- 1,080
Ningependa lakini nahitajika kazini. Likizo yangu nilishachukua.Fanya na ww usafiri
Huwa napenda zaidi kusoma na kuangalia documentaries.. pia kutoka weekends na washkaji..lakini this time, sina appetite kabsa.ni kama mgonjwa.Huwa unapenda vitu gani?
Uwe unaenda hata bar unacheza pool table ukichoka unarudi unalala. Kama iko karibu.
Inaweza kuwa fursa kumkaribia Mungu zaidi kwa kusoma vitabu vyake.
Hapo vumilia huenda ukajifunza ku enjoy ur own company
Mmhh!,, siku ya pili tu lkn naona ni kama mwezi umepita.Hapo vumilia huenda ukajifunza ku enjoy ur own company
Chunga sana wazee wa kula tunda kimasihara huko mkeo alipo
Sawa mkuu.Chunga sana wazee wa kula tunda kimasihara huko mkeo alipo
Hujajenga mkuu axa mikamba ya kitotoFamilia imesafiri kwenda kula sikukuu nimebaki alone home. Nyumba yangu niliyoijenga mwenyewe naiogopa.cjawahi kufeel upweke wa namna hii in my life... Never.
Sijui wale single guyz wanawezaje kuishi in this way.
Kibaya zaidi sijisikii kabisa kutoka out. Nimenunua beer kadhaa ndio nashushia kutafuta usingizi.
Sijui hii hali nawe imeshawahi kukusibu!?
Kama ndio, naomba nawe ushare story yako nami.
Karibu
Sent using Jamii Forums mobile app
Hilo la upweke hata M/Mungu alilijua kabla binadamu kuumbwa, akalifanyia kazi.Familia imesafiri kwenda kula sikukuu nimebaki alone home. Nyumba yangu niliyoijenga mwenyewe naiogopa.cjawahi kufeel upweke wa namna hii in my life... Never.
Sijui wale single guyz wanawezaje kuishi in this way.
Kibaya zaidi sijisikii kabisa kutoka out. Nimenunua beer kadhaa ndio nashushia kutafuta usingizi.
Sijui hii hali nawe imeshawahi kukusibu!?
Kama ndio, naomba nawe ushare story yako nami.
Karibu
Sent using Jamii Forums mobile app
Upweke uliopitiliza ni ishara ya jambo baya kutokea ni muhimu kufanya hata maombi. Sisi senior bachelors tuko fresh tu ila kipindi kama hicho kikija tunajua ni ishara ya kitu sio poa tunafanya hata ibada.Familia imesafiri kwenda kula sikukuu nimebaki alone home. Nyumba yangu niliyoijenga mwenyewe naiogopa. Sijawahi kufeel upweke wa namna hii in my life. Never!
Sijui wale single guyz wanawezaje kuishi in this way.
Kibaya zaidi sijisikii kabisa kutoka out. Nimenunua beer kadhaa ndio nashushia kutafuta usingizi.
Sijui hii hali nawe imeshawahi kukusibu.
Kama ndio, naomba nawe ushare story yako nami.
Karibu
Sent using Jamii Forums mobile app
Hizo ni ishara jifunze kutambua ishara. Mnapokuwa wawili ndani ishara nyingi unazipuuza kwa sababu ya company ila ukiwa mwenyewe ishara zinapata muda wa kuchukua antention kwako.