nenda kijijini ukaoe, wasichana wengi tu wapo. Ukishampata usisahau kumuendeleza kielimu.
na huu mpango wa kuwaambia watu nendeni vijijini,msifikiri kila mtu ametoka kijijini.wengine tumezaliwa mijini,kwenye lami na taa.
upo kwa ajili ya mapenzi au tamaa ya hiyo m2 per month, maana usije enad ukamwaribia maisha mara utakapoona amefulia. maana ninyi dada zetu tunawajua vizuri kwa kupenda penye pesa bila ya mapenzimimi nipo ila je utameet my creterial , nafkili nina sifa zote ila ndio ivyo kama uko tayari tuwasiliane
Hivi kwa nini wabongo tunapenda misifa? Sijui mambo ya kujisifia magari, majumba, mishahara, sijui nafanya kazi na International organisation ili iweje? I am sorry, too much irrelevant information.
Kwanza ungejitahidi angalau katika composition and grammar, kwa sababu kwa muandiko huu hapa juu hao wasichana watakufikiria ni kihiyo fulani, kutokana na elimu yako (you should be able to write better than this) huna uhalisia ama uko katika matani.
na tatizo lako kubwa unachagua sana ..mchagua nazi hupata korona ,kina dada wamejaa tele ka nazi sokoni kati ya hao umekosa lol pole
Piga magotu funga na kuomba ili upate mke mwema ..mke mwema anatoka kwa mungu
Sio kila king'aacho ni dhahabu shosti. Mke mwema labda ni Bikira Maria peke yake. Siku hizi hamna cha wema wala nini. bora liende.
am telling you Chrispin In Jesus name na katika kuamini na kuomba mke mwema anatoka kwa mungu
Naamini hivo-ombeni mtapewa ,hakuna linaloshindikana kwa mungu -Amen
Chrispin utakuwa hueleweki!ushawahi kujisifia kwenye thread moja kuwa una miaka 10 ya ndoa yenye neema na hujawahi juta toka umuoe mkeo.Na hapa unamsifia bikira Maria na mkeo unamponda.Usi-generalize Bwana,Wanawake wema hata leo tupo kibao.Sio kila king'aacho ni dhahabu shosti. Mke mwema labda ni Bikira Maria peke yake. Siku hizi hamna cha wema wala nini. bora liende.
Chrispin utakuwa hueleweki!ushawahi kujisifia kwenye thread moja kuwa una miaka 10 ya ndoa yenye neema na hujawahi juta toka umuoe mkeo.Na hapa unamsifia bikira Maria na mkeo unamponda.Usi-generalize Bwana,Wanawake wema hata leo tupo kibao.
hi wadau wa JF.sikizeni kisa changu
kipindi nasoma nikuwa na madem wingi &nimekuwa nikiachana nao kwani they were not girls of my dreams,hiyo baada ya kukaa nao muda.
sasa nimemaliza chuo nafanya kazi ktk moja ya intrenationa organization,with good salary more than 2m/month,i have car,everything in my house,kiwanja nk.but suala la mke linanisumbua kichwa.sioni wakufaa na access na mademu imeanzapungua kwa sababu ya ubize wa kazi.(unajua ukifanya kazi na wazungu)muda unaenda , vicheche nahfia kuseezi dreams zangu.i feel lonely.
ushauri wa kujenga wadau.
Lol! Nimeingia choo cha kike! Lakini ukweli unabaki palepale, Bikira Maria hana mfanowe. Usisahau nlishasemaga mke wangu sikumkuta na bikira. Na si umeshasikia wanawake huwa hawawasahau wanaume waliowabikiri? Need I say more? Ni kukaza moyo na kujifanya jinga ili mambo yaende poa.
Ni kwasababu tu Biblia siku hizi haziandikwi tena lakini wapo ambao hawavumi ila wana sifa hizo,Sikatai kuwa bikira Maria ana sifa ya aina yake na hatuwezi kulinganisha na wengine lakini kutokuwa bikira wakati wa kuolewa sio kigezo cha kuchafua mazuri yote aliyonayo mwanamke,na itakuwaje kama mkeo alibakwakabla hujamuoa?
Ulikuwa wapi siku zote hizi? You have made my day darling. Was just kidding. Am in love with all women. And for sure, wanawake kwa asilimia kubwa ni waaminifu ukilinganisha na wanaume. Mwanamke akiamua kutulia, anatulia kikwelikweli. Wanaume sisi utulivu ni almost sifuri. Sorry kama nilikuvunja moyo na kukukatisha tamaa.
We mwenyewe ni mwema?
Acha ujinga wewe, mke huwa atafutwi kwa vigezo vya mshahara na mali ulizonazo, Tafuta mwanamke utakeyona anakujali bila kujali mali zako na mshahara wako.. unaomba ushauri wa kutafuta mke na kutueleza mambo yako?Unaona watu wameshaaanza kujiachia.au ndo njia zako za kupata madem?with good salary more than 2m/month,i have car,everything in my house,kiwanja
Naamini mimi ni mwema kwa mme wangu na kanipenda vile nilivyo - No one perfect kama nina mapungufu yatakuwa yakuvumilika na kusameheka
so that it 🙂