Nipo kuzimu muda huu,nawaona viongozi wa afrika na america

Nipo kuzimu muda huu,nawaona viongozi wa afrika na america

litutumbwe

JF-Expert Member
Joined
Mar 13, 2023
Posts
642
Reaction score
1,303
Kumbe yule raisi wa duniani alikuwa mwovu... yupo anachemsha damu hapa
Mkewe na yeye wanakula pedi.
Macho yangu nayo yanawaka sana.

Wakuu Melo anatakiwa apate tuzo coz kazi ni kubwa kuiongoza jamii forums. Yeye kama alijua nitamuita why akimbie???
Kwamba mimi mwehu au?
Na je,mganga alisemaje kuhusu kula uyoga kabla haujaiva??

Nikiwaita wapumbavu nakosea??
Acheni hizo kila mtu afe na chake.mtoto nakulelea,kaka ako nam save kwenye michongo yake,then juzi umeomba nikununulie gari.

Hvi baba angu ndo yule wa pale Ikweta au?
Umemsahau na yule dogo tuliye mchek siku ile pale pachani
 
Bado hujabatizwa vizuri kuitwa mwanaume tulia dawa iingie vizuri
 
Hivi nikinywa pombe kali naruhusiwa kuongea na mimi?Naanza kuongea mimi,halafu mimi ananijibu.Na zaidi itokee hadi hata kuanza kuzozana kati yangu na mimi.The walking dead!
 
Back
Top Bottom