S slab Senior Member Joined Sep 12, 2013 Posts 119 Reaction score 27 Aug 28, 2015 #1 Wakuu nkisoma maelekezo ya humu siyaelewi so nahitaj mtu anielekeze ana kwa ana niemde wap ntapata huu msaada
Wakuu nkisoma maelekezo ya humu siyaelewi so nahitaj mtu anielekeze ana kwa ana niemde wap ntapata huu msaada
IPILIMO JF-Expert Member Joined Oct 13, 2012 Posts 1,819 Reaction score 801 Aug 29, 2015 #2 Unataka information/data zikusaidie kimasomo au unataka kuwa mwekezaji kupitia ununuaji wa masuala ya hisa?
Unataka information/data zikusaidie kimasomo au unataka kuwa mwekezaji kupitia ununuaji wa masuala ya hisa?