Reality of heaven
Senior Member
- Nov 2, 2022
- 108
- 353
Nashukuru kwa mawazo yako! Ahsante Sana! Changamoto yangu kubwa ni upatikanaji wake!!ngoja nifanyie kazi wazo lako mkuuKibali cha nini kwani we unasafirisha mikoani
Wewe fungua bucha kwa kufuata taratibu zote
Tafuta vijana,kijana wakua wanakutafutia mbuzi mitaani na vijijini kwa wafugaji
Peleka machinjio yaliyo karibu nawe bwana afya na mchinjaji utawakuta huko
Mpaka hapo nyama iko tayari kuuzwa .
Nashukuru mkuu!! Kama unaweza mjua mwenyeji wa huko niunganishe naye!!Mbuzi wanapatikana Kilwa, Muhoro kwa wafugaji.