demigod
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 8,292
- 15,250
Demigod: Mbona suala la Utambulishaji wachezaji wapya lina sua sua. Kipi kinagojwa?
Eng Hersi : Acha kuzingua Demigod kwani una haraka gani wewe?
Demigod : Amna bhana. Wananchi wanataka kujua kazi iliyofanyika dirisha hili la usajili.
Eng Hersi : Tatizo mnayumbishwa sana na mitandao, wewe kwani unanichukuliaje mimi?
Demigod : Hapana, sio kwamba tunaegemea mitandaoni. Wananchi wana mshawasha tu wa kufahamu.
Eng Hersi : Ngoja nikiambie kitu kimoja demigod, mimi kazi yangu nimekwisha maliza. Nakuhakikishia kuwa 100% ya rumours za usajili wa chezaji wakubwa unazo zisikia humo mitandaoni mimi nimekwisha kamilisha kuingia nao kwenye mikataba.
Suala la utambulisho ni la kimkakati wa idara ya habari. Wao ndio wamepnga namna ya utambulisho na siku ya utambulisho. Waliniomba mamlaka hayo nikaona niwaachie ili nione wamekuja na ubunifu gani.
Demigod : Na hata Msuva pia?
Eng Hersi : Hahahahah wewe demigod hebu achana na mimi kwanza. Ngoja tufocus kwenye TFF Awards hayo mengine tutazungumza baadae
I only cringed just to flow with the moment.
Eng Hersi : Acha kuzingua Demigod kwani una haraka gani wewe?
Demigod : Amna bhana. Wananchi wanataka kujua kazi iliyofanyika dirisha hili la usajili.
Eng Hersi : Tatizo mnayumbishwa sana na mitandao, wewe kwani unanichukuliaje mimi?
Demigod : Hapana, sio kwamba tunaegemea mitandaoni. Wananchi wana mshawasha tu wa kufahamu.
Eng Hersi : Ngoja nikiambie kitu kimoja demigod, mimi kazi yangu nimekwisha maliza. Nakuhakikishia kuwa 100% ya rumours za usajili wa chezaji wakubwa unazo zisikia humo mitandaoni mimi nimekwisha kamilisha kuingia nao kwenye mikataba.
Suala la utambulisho ni la kimkakati wa idara ya habari. Wao ndio wamepnga namna ya utambulisho na siku ya utambulisho. Waliniomba mamlaka hayo nikaona niwaachie ili nione wamekuja na ubunifu gani.
Demigod : Na hata Msuva pia?
Eng Hersi : Hahahahah wewe demigod hebu achana na mimi kwanza. Ngoja tufocus kwenye TFF Awards hayo mengine tutazungumza baadae
I only cringed just to flow with the moment.