Nipo na uhitaji wa ajira ya usalama wa nchi, nina vigezo hivi

Pia ukiwa vizuri sana upstairs yaani wale jamaa hawakuachi.
Kuna jamaa namfahamu alipiga Div I pts 7 pale tosamaganga. Akaenda Kibaha pcm akapiga Division I pts 4 ya PCM. Akaingia Telecom UDSM kipindi hicho ni hot cake course na wanachukua ile super brain.

Jamaa kwa sasa ni muajiriwa serikalini lakini anabadilishwa tu kitengo leo kule keshokutwa kule but kwa kazi maalumu. Jamaa kwa sasa ni Dr.

Kwa hiyo sio lazima utokee familia ya wazito ndio ufanye kazi TISS sometimes akili yako tu inaweza kukubeba na ukajikuta upo usalama wa taifa
 
Wale wana vyuo maalum na masomo yao ni maalum pia siyo wote wanaohitimu hupewa hiyo kazi.

Sema miaka hii wanawaweka ndugu zao na ndiyo inaharibu kipenyo
Hapana siyo kweli!

1. Unaweza soma chuo chochote kile na kama wakikupenda wanakuchukua
2. Inategemea utaenda kitengo gani,kama ni undercover sidhani kama utaenda hata nje kujifua, kama ni undercover utaongeza tu ujuzi kwenye vyuo vyao! Baada ya hapo unaajiriliwa kabisa sehemu kama staff lakini ukawa unatoa report sehemu husika! Na baada ya mission accomplish anasepa zake
3. Kama atakua kwenye kitengo chakulinda viongozi,hapo sasa lazima akajifue hata kwenda nje ya Nchi

4. Hizo nafasi ukizikamia sana ndiyo huzipati kabisa! Recruitment zao hua hautabiliki kabisa!
 
Mkuu mbona kimya ulishapata kitengo? Tupeane connection
 
kadi ya CCM huna basi ajira umeshakosa kigezo kikubwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…