Horseshoe Arch
JF-Expert Member
- Aug 10, 2009
- 13,403
- 12,775
Punguza ukali mkuu, ni mapito tu ya hapa duniani, kutenda kosa sio kosa ila kurudia kosa hapo sawa.....ndio maana nimekuwa muwazi kuwa nimekaa na GF 4 years bila nyavu kutikisika vyema! hata ungekuwa wewe ungekuwa na mashaka tu mkuu.
If possible give me u're advice plse.