Smith Rowe
JF-Expert Member
- Sep 18, 2018
- 4,319
- 9,003
Tuache propaganda tujikinge na Corona
Moja kwa moja kwenye mada!!!
Mimi ni kijana wa miaka 20 bado Niko darasani ila natumai baada ya kumaliza kidato cha sita nitafanya biashara kwanza kabla ya kuendelea na masomo.
Hipo hivi!!
Mimi ni mkazi wa Mkoa mmoja wapo wa kaskazini. Nategemea kuanzisha uzalishaji mdogo wa SEMBE (mtaji wa 2M)Kwa utaratibu ufuatao:
1.Sitakodisha pango wala kununua mashine ya ukoboaji maana mtaji ni mdogo bali ntakua nikikoboa na kusaga kwenye mashine ya mtu.
2.Sitatafuta usajili wa business name maana mtaji ni mdogo.
3. Naomba maelekezo wapi yanapatikana mahindi yenye mbegu ndogo mikoa ya kaskazini kwa uzalishaji wa sembe.
4.Naomba maelekezo wapi vinapatikana vifungashio vya unga vya bei nafuu vya kilo moja, tano na kumi kwa mikoa ya kaskazini
5. Naomba ushauri juu ya gharama za uzalishaji wa Sembe.
6. Naomba ushauri wa masoko na mauzo ya unga wa sembe .
7. Naomba ushauri juu ya ufungishaji wa sembe kwenye mifuko yake.
8.Naomba ushauri juu ya uzoefu wa biashara hii na jambo lolote litakalonisaidia kuifanikisha.
Nitashukuru kwa msaada wenu wa mawazo pamoja na mkoa mmoja wapo wa kufanya hii biashara kati ya mmkoa mmoja wapo wa kaskazini ( mwanza,arusha,shinyanga,moshi) au popote pale patakapo kuwa panafaa zaidi.
Karibuni wadau kwa ushauri
Sent using Jamii Forums mobile app
Moja kwa moja kwenye mada!!!
Mimi ni kijana wa miaka 20 bado Niko darasani ila natumai baada ya kumaliza kidato cha sita nitafanya biashara kwanza kabla ya kuendelea na masomo.
Hipo hivi!!
Mimi ni mkazi wa Mkoa mmoja wapo wa kaskazini. Nategemea kuanzisha uzalishaji mdogo wa SEMBE (mtaji wa 2M)Kwa utaratibu ufuatao:
1.Sitakodisha pango wala kununua mashine ya ukoboaji maana mtaji ni mdogo bali ntakua nikikoboa na kusaga kwenye mashine ya mtu.
2.Sitatafuta usajili wa business name maana mtaji ni mdogo.
3. Naomba maelekezo wapi yanapatikana mahindi yenye mbegu ndogo mikoa ya kaskazini kwa uzalishaji wa sembe.
4.Naomba maelekezo wapi vinapatikana vifungashio vya unga vya bei nafuu vya kilo moja, tano na kumi kwa mikoa ya kaskazini
5. Naomba ushauri juu ya gharama za uzalishaji wa Sembe.
6. Naomba ushauri wa masoko na mauzo ya unga wa sembe .
7. Naomba ushauri juu ya ufungishaji wa sembe kwenye mifuko yake.
8.Naomba ushauri juu ya uzoefu wa biashara hii na jambo lolote litakalonisaidia kuifanikisha.
Nitashukuru kwa msaada wenu wa mawazo pamoja na mkoa mmoja wapo wa kufanya hii biashara kati ya mmkoa mmoja wapo wa kaskazini ( mwanza,arusha,shinyanga,moshi) au popote pale patakapo kuwa panafaa zaidi.
Karibuni wadau kwa ushauri
Sent using Jamii Forums mobile app