Nipo serious wana jf, natafuta mwanamke wa kuoa mwenye sifa hizi.......,

Nipo serious wana jf, natafuta mwanamke wa kuoa mwenye sifa hizi.......,

Matokeo1

JF-Expert Member
Joined
Oct 10, 2012
Posts
231
Reaction score
42
Mimi ni kijana mwenye umri 30yrs nina bachelor ya sheria, natafuta mwanamke mwenye sifa hizi, awe na umri usiozid miaka 30, awe anaumbo zuri maana mi kwa maumbo mazuri ndo furaha yangu, awe na sura ya kuvutia, awe mpenda Mungu, awe mkristo, awe mpenda maendeleo, elimu iwe ya form iv na kuendelea, sichagui kabila, kama yupo ambae yupo serious anitafute tuongee kuhusu uchumba wetu.
 
jembe ulikuwa wapi miak yoe hiyo:A S 39:
 
Hebu nipm nikupe mke. Ni masters candidate. Ni mrembo na hajazidi 30 yrs
 
Mimi ni kijana mwenye umri 30yrs nina bachelor ya sheria, natafuta mwanamke mwenye sifa hizi, awe na umri usiozid miaka 30, awe anaumbo zuri maana mi kwa maumbo mazuri ndo furaha yangu, awe na sura ya kuvutia, awe mpenda Mungu, awe mkristo, awe mpenda maendeleo, elimu iwe ya form iv na kuendelea, sichagui kabila, kama yupo ambae yupo serious anitafute tuongee kuhusu uchumba wetu.

mimi zoote ninazo ila muislam japo nipo tayari kubadili dini
 
Back
Top Bottom