Wazo la kabwela
JF-Expert Member
- Feb 13, 2013
- 1,812
- 1,373
tayar nimeshafika hapa katika ofisi za halmashaur.nipo karibu kabisa na ofisi za idara ya ELimu.mimi si mwalimu mpya laa hasha mimi huu ni mwaka wangu wa tatu kazini.lengo la kuja hapa ni kupokea walimu wapya 3 tulioahidiwa kuwapata katika shule yetu.kwa haraka haraka nawachunguza walimu wetu wageni na kugundua yafuatayo.
1.walimu wa kiume wapo tyari kufanya kazi popote watakapopangiwa.
2.walimu wa kike sasa..
hawa wamekaa katika vikundi wakijadiliana huku weng wakiwa na nyuso za huzuni inaonyesha tyar wameshakata tamaa.
kitu kingine ni jinsi walivyojiremba.. kucha za bandia,nyusi za bandia na mawigi.Hapa ndo napoanza kuwaonea huruma dada zangu hawa coz huko vijijini watajikuta wanavisahau vyote hivyo na ninategemea kuwaona tofauti kabisa mwisho wa miezi katika kuchukua mishahara kwani kuna vijiji vinatisha jamani uwii nawaonea huruma hawa dada zetu
1.walimu wa kiume wapo tyari kufanya kazi popote watakapopangiwa.
2.walimu wa kike sasa..
hawa wamekaa katika vikundi wakijadiliana huku weng wakiwa na nyuso za huzuni inaonyesha tyar wameshakata tamaa.
kitu kingine ni jinsi walivyojiremba.. kucha za bandia,nyusi za bandia na mawigi.Hapa ndo napoanza kuwaonea huruma dada zangu hawa coz huko vijijini watajikuta wanavisahau vyote hivyo na ninategemea kuwaona tofauti kabisa mwisho wa miezi katika kuchukua mishahara kwani kuna vijiji vinatisha jamani uwii nawaonea huruma hawa dada zetu