Nipo tayari kwenda kuijadili rasimu ya katiba bila ya kulipwa

Nipo tayari kwenda kuijadili rasimu ya katiba bila ya kulipwa

Mpenda kazi

Senior Member
Joined
Dec 13, 2013
Posts
178
Reaction score
104
Habari wadau wa jf!

Jamani kwa yeyote mwenye kuweza kunisaidia nionane na RAIS ili nizungumze nae aniteue niende kuijadili rasimu ya katiba bila malipo yoyote, nitatumia gharama zangu mwenyewe.

Watu wanadhani ni masihara lakini nipo serious, naomba wadau tena ikiwezekana nitoe kiingilio cha bunge sh. 100000/= kwani ndiyo nina uwezo nacho na gharama za chakula, malazi na usafiri nitagharamia.

Kama unaweza kunisaidia wasiliana nami kupitia- PM

Naomba kuwasilisha
 
Moods nisaidieni kuipeleka jukwaa la siasa nimeshindwa.
 
Habari wadau wa jf!

Jamani kwa yeyote mwenye kuweza kunisaidia nionane na RAIS ili nizungumze nae aniteue niende kuijadili rasimu ya katiba bila malipo yoyote, nitatumia gharama zangu mwenyewe.

Watu wanadhani ni masihara lakini nipo serious, naomba wadau tena ikiwezekana nitoe kiingilio cha bunge sh. 100000/= kwani ndiyo nina uwezo nacho na gharama za chakula, malazi na usafiri nitagharamia.

Kama unaweza kunisaidia wasiliana nami kupitia- PM

Naomba kuwasilisha

Bure kabisaa?
 
mhm! ninyi ndo walewale
kweli mtanzainia mwenye nia
anaweza kufanya kazi bila malipo kweli?
Habari wadau wa jf!

Jamani kwa yeyote mwenye kuweza kunisaidia nionane na RAIS ili nizungumze nae aniteue niende kuijadili rasimu ya katiba bila malipo yoyote, nitatumia gharama zangu mwenyewe.

Watu wanadhani ni masihara lakini nipo serious, naomba wadau tena ikiwezekana nitoe kiingilio cha bunge sh. 100000/= kwani ndiyo nina uwezo nacho na gharama za chakula, malazi na usafiri nitagharamia.

Kama unaweza kunisaidia wasiliana nami kupitia- PM

Naomba kuwasilisha
 
Back
Top Bottom