Nipo ugenini, wanapika chakula kidogo mno

Bro mpaka leo unafikia kwa mtu mjini🤔 siku hizi imeshapitwa na wakati maana maisha ni magumu mtu anajitafutia yy na familia yake so utajifunza siku nyingine ukienda mjini uwe na budget ya guest house na chakula mgahawani ule unavyotaka wewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…