Nyumba yenye furaha ni yenye chakula cha kusaza. Sasa unakuta watu wanapika wali kwenye sufuria za kuchemshia chai! Kweli!!? Unakula hata ukienda toi unatoa kama mbuzi au mtoto!! Nyumba isiyo na chakula cha kutosha haina furaha hata kidogo.
Mtu unakula ugali kama ngumi ya mtoto na dagaa tatu mchuzi ndoo ya maji ....harafu ukiwa Kwa bed unataka kupiga goli 3 ,na upelekee moto ,my friend utaendelea kujiona huna nguvu ,kumbe hata nguvu za kawaida tu huna ....
Watu dsm wanashinda njaa kiasi kwamba wanakosa hata nguvu za kuongea ,..
Hii ishu iliwahi kunikuta.Huu ugeni jamani,
Nipo ugenini hapa nilipofikia nimejitahidi nisiwe nakula bure, nimefika ijumaa na Ile Ile ijumaa nilileta mafuta ya kula Lita 3.
Hapo hapo nikanunua na nguruwe kilo 2, huwa sipend Sana free lunch. Sasa bana hapa nilipo wanapika msosi kidogo sana yaani daah sijui ndo walivozoea.
Daah nakula slow slow Ila sishibi. Ijumaa na jumamosi nimekula sahani mbili tu yaani mchana napiga chenga, sipendi kuhudhuria kila mida ya misosi.
Sasa Leo jioni (muda si mrefu sijaanza kuandika hii post) Wife wa jamaa wakaleta msosi kama kawaida yao kidogo sana. Nimekaa nazuga zuga naangalia TV uvumilivu ukanishinda nikaona ngoja nimege ugali.
Nikakata nusu, maana nilijua tupo wawili mi na jamaa mwenye nyumba. Nikahisi wife wa jamaa na mdogo wake wanakula uko jikoni. Ile nimekata nusu naona wife wa jamaa na mdogo wake nao Wanakuja daah!
Basi shem ikabidi azuge kama kashiba. Mdogo wa Shem ndo akakata Ile nusu, uliobaki ndo jamaa kala. Nimejisikia vibaya mno natamani niondoke Lee. Yaani jumatatu naona mbali.
Famasiala nini dadekiKuna siku nilikuwa na wageni Fulani watasha sehemu Fulani, wao wanakula Kidogo sana, Mimi nikamsoma dereva maana mswahili mwenzangu, yeye anajifanya anazuga alafu anaaga anaenda kufata vocha aloo Kumbe anaenda kwenye mgahawa wa karibu na kupiga mapigo ya kibongo. Niliunga tela fasta siku inayofata nikamwambia na Mimi nataka nitume M-pesa sehemu akaniambia njiani asee Mimi huwa sishibi hiyo misosi nikamwambia sio peke yako, alicheka sana. Nikaagiza ugali sahani mbili chap, dereva alicheka sana. Hii ndio mipango. [emoji23][emoji23][emoji23]
Hiyo itakuwa mbeya bila shakaHuku kwetu debe la mahindi ni 25k, debe la maharage 55k, huko kwenu sijui hali ikoje mimi nimelima mahindi, alizeti na maharage atleast inasaidia kumudu gharama za chakula. Hao watu wanajibana washapiga hesabu na bajeti kali za mwezi mpaka miezi 3.
[emoji23][emoji23][emoji23]
basi Uwe unapiga msosi hata kwa mama ntilie ukirudi hapo unafanya finishing tu.
Hii ishu iliwahi kunikuta.
Nishaapa, katika familia yangu chakula kikiwepo ni lazima kipikwe cha kushiba.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kuna ndugu yangu kaolewa anaishi ukwen wana ishu hizo huwa akirudi home anakula kama hajaona chakula miaka mitano [emoji23][emoji23]
Hili neno!Ukienda ugenin we jua tu umepata msaada pa kulala bure ,kula jitegemee tu
Mala nkoi/bhagheshiBora wewe umekata nusu,ningekua mimi ningekula wote,wao si ndio wenyeji wangeenda jikoni kupika tena,sio kula kama unaonja,kwanza huku kijijini kabla ya chakula tunaanza na karanga mara maziwa na manumbu mpka chakula kinakuja mtu ushaanza kushiba,
Huwa anafakamia mahotpot muda wote yupo jikoni πππ[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Tunabana bajeti πππ,
nawee kwako unapika hivyo hivyo?kiduchuuπ π
Bora kujitegemea tu. Watu mjini Wana budget zaoUkienda ugenin we jua tu umepata msaada pa kulala bure ,kula jitegemee tu