Picha tafadhali huku apokelewi mtu asie na picha!!je kama wewe ni jini tutajuaje!!kama unataka mapokezi weka picha uone!!Wanajamii forum mi Leo mgeni wenu,naomba mnielekeze chumba cha kulala na choo kilipo
Wanajamii forum mi Leo mgeni wenu,naomba mnielekeze chumba cha kulala na choo kilipo
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Hakuna cha chumb hapa wala nn, utalala kwenu ila karibu
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Acha unaa kamanda... Unafukuzaje wageni??
kipo jukwaa la vitanda mkuuAhahah mkuu sas kitanda kinatok wp hum
Teh tehutalala popote,kwan umeinglia wapi mkuu?
Njoo hapa jukwaa LA kijanjaMMUWanajamii forum mi Leo mgeni wenu,naomba mnielekeze chumba cha kulala na choo kilipo