Nipokeeni ndugu zangu, tabu za dunia zimenizidi

nendiwekilasa

Member
Joined
Nov 14, 2012
Posts
10
Reaction score
19
Jamani kwa heshima na taadhima naomba mnipokee ndugu yenu, ninahisi kwa kuja hapa nitatua mizigo niliyonayo, naomba mnipokee kwanza, ili nikishakaribishwa ndani niweze kutoa yale yanayonisibu ili mnisaidie ushauri
 
Jamani kwa heshima na taadhima naomba mnipokee ndugu yenu, ninahisi kwa kuja hapa nitatua mizigo niliyonayo, naomba mnipokee kwanza, ili nikishakaribishwa ndani niweze kutoa yale yanayonisibu ili mnisaidie ushauri
Karibu sana jamvini mkuu. Anza kwa kupitia MMU.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…