Nipokeeni wanajamvi

Maria Roza

JF-Expert Member
Joined
Apr 1, 2009
Posts
6,803
Reaction score
1,601
Napenda kuwatakia wadau wote wa JamiiForums heri ya mwaka mpya, nimejifunza mengi na kupata marafiki wa aina mbali mbali toka nijiunge nanyi. Mbarikiwe sna sina cha kuwapa ila naombeni mpokee upendo wangu kwenu na kama kuna sehemu nimekosea nitafurahi mkinirekebisha! Mwaka huu ulikuwa wa changamoto nyingi sna kwangu. Heri ya mwaka mpya wadau wote wa JamiiForums yaliopita si ndwele tugange yajayo

Viva JamiiForums!
Maria Roza



 
hapa maria roza ulikuwa DJ ndani ya gari nini? maana duh hii noma kama wao ndio madereva basi walipata ajali
 
Msisahau wadau msinywe na kuendesha
 


Ucjali mamaa, mie nilishakusamehe kabla hata ya kuomba msamaha............VIVA JF.........................AVE MARIA................ ROZA
 
Kiss kiss mrembo.... Familia yote twakupenda... tunakuwa watu bora zaidi pale tunapokosea na kujirekebisha kutona na makosa...
Hao wanjemba wanacheza KIWAZENZA au kiDUKU?
 
Maria Roza karibu mama mi wala hujawahi kunikosea na damu hunisisimka kila ninaposoma comment yako,happy new year na wewe na ujaaliwe kuongeza idadi ya watu duniani mwakani.
 


Unacho cha kutupa sema mchoyo tu!!
 
Msisahau wadau msinywe na kuendesha

10% of road accidents are due to drunken driving. Which makes it a logical statement that 90% of accidents are due to driving without drinking!

Heri ya Mwaka Mpya Wapendwa...
 
heri ya mwaka mpya na wewe mpendwa....natumaini mwaka ujao tutakuja na mambo mapya mazuri mengi katika jukwaa letu hili
 
Wajamaa wamepinda! Ni kama wanaelekea Moshi kwenye Xmas..Kweli eehh!
 


MR Wanacheza nini hawa? Au ndo Kiduku hicho?

Hakika December end ni festivals seasons.

Jamaa yangu alikuwa Moshi wao wanaita Migombani ansema wadau wanashinndani kwa magari mapya na vitu mbalimbali vya kulingishiana kuonyesha nani zaidi.

Otherwise na wewe pia tunakutakia Afya Njema 2011 na utimize malengo yako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…