kama hatutakiwi kunywa na kuendesha kwa nn bar kuna car parking?
FD unanikumbusha habari za kama Kuoga ni Usafi; Mbona Taulo linachafuka?
hapa maria roza ulikuwa DJ ndani ya gari nini? maana duh hii noma kama wao ndio madereva basi walipata ajali
hapa maria roza ulikuwa DJ ndani ya gari nini? maana duh hii noma kama wao ndio madereva basi walipata ajali
Haha haha tulifika salama :whoo:
wacheza nini hao jamani??
Maria Roza karibu mama mi wala hujawahi kunikosea na damu hunisisimka kila ninaposoma comment yako,happy new year na wewe na ujaaliwe kuongeza idadi ya watu duniani mwakani.
Ulikuwepo kweli au ni picha tu umetoa mahali.
Wewe si uko IN DA HOUSE?
heri ya mwaka mpya na wewe mpendwa....natumaini mwaka ujao tutakuja na mambo mapya mazuri mengi katika jukwaa letu hili
Mmh! PM ya kweli hayo?
Plate number ya Botiswana?
Nmaanisha maji ya Ilala
Hahahha life yenyewe fupi yani khaaaa
Mkuu taratibu basi, watu tuko kazini,nashangaa hata mhusika mwenyewe hataki kunitazama......
Mhh labda kwako taulo langu huwa halichafuki aiseee:teeth:
Khaa jf jamni kibokoo
Mkuu taratibu basi, watu tuko kazini,nashangaa hata mhusika mwenyewe hataki kunitazama......
Halafu wale samaki wanakusubiri ujue