Nipokeeni wanajamvi

hapa maria roza ulikuwa DJ ndani ya gari nini? maana duh hii noma kama wao ndio madereva basi walipata ajali

MR anauweza u DJ kweli? Avatar yake inaonyesha kama mtu fulani hivi wa Level 8 Kempisk au New Mount Meru
 
hapa maria roza ulikuwa DJ ndani ya gari nini? maana duh hii noma kama wao ndio madereva basi walipata ajali

Mkuu walevi professionals hata siku moja hawapati ajali. utaongozana naye akiwa mbele anaendesha na gari itayumba zig zag njia nzima lakini atafika.

Sasa mwingine ajaribu, atona supu ya mawe ni nini.
 
Maria Roza karibu mama mi wala hujawahi kunikosea na damu hunisisimka kila ninaposoma comment yako,happy new year na wewe na ujaaliwe kuongeza idadi ya watu duniani mwakani.

Mmh! PM ya kweli hayo?
 
heri ya mwaka mpya na wewe mpendwa....natumaini mwaka ujao tutakuja na mambo mapya mazuri mengi katika jukwaa letu hili

Kwani jukwaa lenu hasa ni lipi Preta. Ni hili na MMU au MYK?
 
Ao jamaa sura zao zinafanana, kama vile baba mmoja na mama mmoja!
 
Mkuu taratibu basi, watu tuko kazini,nashangaa hata mhusika mwenyewe hataki kunitazama......

Haaa haaa Mkuu sikujua kuwa uko kazini. Binti mwenyewe yuko IN DA HOUSE utaweza? Good Luck!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…