Nipokeeni waungana wenzangu..!

mitutwe pazi

Senior Member
Joined
Feb 16, 2013
Posts
150
Reaction score
28
Kama taifa linaitaji watu ambao watalipa changamoto toward the positive changes, ndivyo hivyo me nimo humu kushirikiana nanyi kuelekea hayo mabadiliko, nipokeeni kuhakikisha hayo yanatokea kwa ushirikiano wetu.
 
Karibu,usisahau zawadi zetu toka shamba...teh teeeh
 
Karibu sana kwenye jukwaa la uwazi bila kificho hapa unaongea ya moyo mwako bila kupepesa macho wala woga wowote.Tupo ili kujuzana na kuelibishana pia na kubadilishana karibu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…