Nipokeeni waungwana wenzangu..!

mitutwe pazi

Senior Member
Joined
Feb 16, 2013
Posts
150
Reaction score
28
Kama taifa linaitaji watu ambao watalipa changamoto toward the positive changes, ndivyo hivyo me nimo humu kushirikiana nanyi kuelekea hayo mabadiliko, nipokeeni kuhakikisha hayo yanatokea kwa ushirikiano wetu.
 
Thanks alot, siaminini km nawe umenikaribisha.. Yaani watu8 umenishawishi vya kutosha mpaka nikaingia humu

hahaha(furaha)....kwa nini wasema hivyo mkuu, huku JF Utambulisho ni moja ya kijiwe changu!
 
Karibu sana jamvini, pitia sheria na kanuni za humu.
 
Kama taifa linaitaji watu ambao watalipa changamoto toward the positive changes, ndivyo hivyo me nimo humu kushirikiana nanyi kuelekea hayo mabadiliko, nipokeeni kuhakikisha hayo yanatokea kwa ushirikiano wetu.

we mgosi karibu....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…