Fundi kipara
Senior Member
- Oct 27, 2019
- 125
- 247
Utawaweza wewe wadada wa humu? Ngoja ukaribishwe kwanza. Karibu sana JF.
karibu mgeniMe mgeni jmn MKAKA smart WADADA nipokeeni JM
Mkuu una lako jambo ene Wei nishapata nilitakalo
Huwezi kuwa SMART kama unavyojinasibu lakini walau kuandika tu PM ushindwe
Sanks mkuu
Karibu sana JamiiForums...
Asante mkuu
karibu mgeni