Nipongeze Serikali kwa kufanya uamuzi wa kuzuia Bodaboda na Bajaji kuingia mjini wamefanya jambo la maana sana

Nipongeze Serikali kwa kufanya uamuzi wa kuzuia Bodaboda na Bajaji kuingia mjini wamefanya jambo la maana sana

Mayunga234

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2017
Posts
1,725
Reaction score
1,995
Nipongeze Serikali kwa kuzuia boda boda na bajaji kuingia mjini wamefanya jambo la maana sana.

Bodaboda ndo zinaongoza kwa kusababisha ajali unakuta badaboda anaovertake gari kubwa mwishoe anasababisha ajali na kupoteza maisha ya watu.

Watu wengi sana wamepoteza maisha kwa bodaboda kwaajili ya kuovertake magari bila kuangalia Watu wengi wasio na hatia wamepoteza Maisha kwaajili ya uzembe wa muendesha bodaboda.

Then bodaboda wengi wamekuwa wezi wanajipenyeza kwenye foleni then kama kuna gari kioo akijafungwa basi anapita na vitu vilivyopo kwenye gari.

Kwa jambo hili litapunguza ajali kwa kiasi kikubwa hawa waendesha bodaboda walijua kujichomoa akili sana

Mdogo mdogo Wataanza kuelewa Serikali ikimalizana na hilo Waanze na hawa Wenye nyumba chakavu ambao wameshindwa kuziboresha waondolewe

[emoji419]bodaboda na bajaji kuanzia 1/11/2021 hawataruhusiwa kuingia mjini [emoji91]

bodaboda na bajaji sasa ni mwendo wa kupita porini tuu [emoji23]


[emoji625]Serikali wanataka Tanzania iwe kama Dubai [emoji91]


Kinachofatia ni kuwaondoa wenye nyumba chakavu na chafu Walioshindwa kuziendeleza
Yaani Dar itakuwa kama New York
 
Timu gaidi meno yote nje kwa furaha kwa sababu hao boda boda na bajaji vyuma vimelegea hela zitajaa mifukoni mwao baada ya kufukuzwa mjini.
 
Kwa kuzuia Bodaboda Serikali ijipange maana traffic kazi hii hawaiwezi Ila wale wanoko Majembe auction Mart pengine wakamudu.
 
Timu gaidi meno yote nje kwa furaha kwa sababu hao boda boda na bajaji vyuma vimelegea hela zitajaa mifukoni mwao baada ya kufukuzwa mjini.

[emoji849][emoji849]
 
Mkuu wa mkoa amebatilisha amri hio mpaka atakapotoa tamko lake rasmi
 
Nipongeze Serikali kwa kuzuia boda boda na bajaji kuingia mjini wamefanya jambo la maana sana.

Bodaboda ndo zinaongoza kwa kusababisha ajali unakuta badaboda anaovertake gari kubwa mwishoe anasababisha ajali na kupoteza maisha ya watu.

Watu wengi sana wamepoteza maisha kwa bodaboda kwaajili ya kuovertake magari bila kuangalia Watu wengi wasio na hatia wamepoteza Maisha kwaajili ya uzembe wa muendesha bodaboda.

Then bodaboda wengi wamekuwa wezi wanajipenyeza kwenye foleni then kama kuna gari kioo akijafungwa basi anapita na vitu vilivyopo kwenye gari.

Kwa jambo hili litapunguza ajali kwa kiasi kikubwa hawa waendesha bodaboda walijua kujichomoa akili sana

Mdogo mdogo Wataanza kuelewa Serikali ikimalizana na hilo Waanze na hawa Wenye nyumba chakavu ambao wameshindwa kuziboresha waondolewe


[emoji419]bodaboda na bajaji kuanzia 1/11/2021 hawataruhusiwa kuingia mjini [emoji91]

bodaboda na bajaji sasa ni mwendo wa kupita porini tuu [emoji23]


[emoji625]Serikali wanataka Tanzania iwe kama Dubai [emoji91]


Kinachofatia ni kuwaondoa wenye nyumba chakavu na chafu Walioshindwa kuziendeleza
Yaani Dar itakuwa kama New York
Tengeneza tatizo kisha litatue
 
Ndo hivo Mzee tunataka jiji lionekane jiji kweli
Hizi sio akili ni mavi.

Unaboresha jiji halafu hujabiresha maisha ya wakazi wa jiji hizo ni akili ama uharo?

Mnataka jiji lionekane zuri huku wanachi wengi ni fukara wa kutupwa. Aisee.
 
Back
Top Bottom