Hongera ankal..... Unarudi lini huku?????? Safari sitoroki ng'o!
Lady doctor habari ya uzima wako..Asprini, mwenzio sijui inglishi hata kidogo yaani naona kama unanipa adhabu.
Lady doctor habari ya uzima wako..
hahaha sirudii tena sikujua kama upo mwepesi ivo kwen kilaji next time utakamata baltika tu...
nami nimekoma kutoka out na wewe Kaizer sikujuaulikuwa na nia gani mpaka ukaamuakunilewesha mtoto wa watu.
haaa lakini si nilikurudisha salama kabisa Lady doctor.....sikuwa na nia yoyote mbaya lol
Lady doctor, kama upendanvyo nimeshatenda.....lolnakuja sasahivi, ni pm uko pande ipi nikanyage mafuta sasahivi!!
Kaunga kuhonga kwa mtu kama mimi si ni vibaya au? apo kwa AshaDii, we acha manake ninachopata ni siri yangu ndo unaona ivo,
Basi tufanye kutoa sadaka sio kuhonga; halafu unatufundishaje? Tutoe kile tunachocherish the most si ndio; na wewe as mtumishi wa Mungu unatakiwa uongoze kwa mfano so a platinum status offer kwa mwanakondoo wako mtiifu is not too much to ask eeh!