Kwanza vp mazingira mnayokutania, ni comfortable kwa maana ya kwamba hamna haraka wala hofu ya aina yoyote? mnarelax?
Pili ni atitude yako ww mwenyewe kuelekea tukio, unajiachia vya kutosha na kufeel pleasure as it comes? au unawaza tu ogazm ogazm ogazm, bila kujua unaintarapt mautam mengine yanayoweza kukufikisha huko kwenye the all-important OG?
Jiachie mtoto... enjoy the moment... buy time... usikumbuke fadhaha ya kutofika wiki jana... assume kila kitu kp ok, lazimisha hisia zako ziwe positive kama ufanyavyo unaposelfservice na kujifikisha mwenyewe, kinyume cha sheria... mara utashangaa tu hizooooo zinapiga hodi....
Tatu ni mikao sahihi kwa nyakati sahihi... na hili ni muhimu pia, huu ndo mwarobaini wa kutroubleshoot Ogazm zinazokatisha ruti, lakini ni lazima uuchanganye na ingredient moja muhimu sana ili uweze kupata results haraka; USIKAE KIMYA WALA USIONE AIBU KUMWONYESHA HOTSPOTS ZAKO NA UNAPENDA ZIFANYWEJE.
Female ogazm si mchezo mchezo tu, ni lazima kila kitu kiwe right. kama we mwenyewe unaweza, why not ukiwa na msaidizi banaaaa.... mi c o mtaalam,
so maumivu yakizidi.............................