Nisaidie Hili

Mtayarishaji

JF-Expert Member
Joined
Jan 25, 2012
Posts
291
Reaction score
198
Nimestukia kwamba mahitaji ya mke au mume ni mengi kila uchao.

Maana post za kutafuta mchumba, mke/mume ni nyingi online.

Hivi ni kweli kwamba hao waombao kupata mwenza humu JF hufanikiwa?

Jibu lako litanihamaisha nami kujaribu.
 
mimi kuna mwanamke maarufu hapa JF nina mmiliki,na nilimtoa humu,alikuwa anafuatilia nyendo zangu baada ya kuvutiwa na baadhi ya posts zangu za ujinga ujinga,amekuta nje ya JF kuwa kumbe ni mtu wa chaguo lake,so tupo tunaendeleza gurudumu la amri iliyo kuu,upendo..so inawezekana mkuu!
 
Kwa uzoefu wangu humu hakuna kitu, labda kama one night stand. Note wengi ni wazee, shapeless na mengine mengi yasiyopendeza
 

Hongera.
 
Usisumbuke kujaribu. Kama ni Ke jitanabaishe hapa hapa.
 
Kwa uzoefu wangu humu hakuna kitu, labda kama one night stand. Note wengi ni wazee, shapeless na mengine mengi yasiyopendeza
Lete experience yako sasa mbona unakimbia?
 
Hufanikiwa, kuna mmoja aliteta ushuhuda humu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…