Nisaidie kisheria kuvunja ndoa

Hamia dini ileee kwa muda kama Mtatiro. Hii itakusaidia kutatua na kumaliza matatizo yako, na kisha utarejea kwenye imani yetu kama kawaida.
 
Till death do you apart...., mchezooo.
 
Mnapendaga kujipa complication bila sababu,maisha yenyewe mafupi haya unapata wapi mda wa kuwaza namna ya kuvunja ama kutovunja ndoa?

Ndoa is meaningless,we vuta weka ndani maisha yaendelee.
Au kama vip niPM NIJE NIKUSILIMISHE,
Tuone huyo mwanamke atakuja kudai ndoa kwa misingi ipi
 
uko sawa mkuu lakini mahakama ni ya mwanzo sio ya wilaya
 
Unajuwa mpaka unatisha mkuu
 
Ukanjanja haufai
Sijaona mantiki yakutaka kuvunja ndoa
Labda km unataka msaada kuhusu separation ambayo haina maana ya kuvunja ndoa(divorce)
 
Good
Ila siyo mahakama ya wilaya ni ya mwanzo
 
Ndoa ya kikristo haina talaka lakini
Kaka mshana talaka ama kutengua ndoa ipo mkuu,
Nimepitia hili na limeisha na sasa nnasubiri 40 days nkachukue cheti cha talaka,hata kanisani zipo sababu zinazopelekea kutengua ndoa,zipo ndoa zinakuwa batili since day one,na kwa kutojua ndoa nyingi ni batili tangu kufungwa kwake,kaka nnapitia hili nimejifunza mengi sana,na mambo ni tofauti sana na tunavodhani huku mtaani
 
Bless up keep on dropin wise tings,
Mm nimepitia hili na limeisha mwezi huu,nimejifunza mengi sana na mambo yapo tofauti sana nabtunavodhani mtaani,binafsi wa kwangu alikuwa anafanya visa makusudi huku akijitapa kuwa atanitesa mpaka kufa maana yy ni msalaba wangu na hakuna mahakama inaeza vunja ndoa hii,hata mahakamani aligoma talaka,lkn sheria iliona nabikaridhia kutengua ndoa,sijaoa maana nnaogopa kuingia kwenye pini ile ile,nimeamua kukaa na wanangu tu,mengine Mapenzi ya Mungu yatimie
 
Ukanjanja haufai
Sijaona mantiki yakutaka kuvunja ndoa
Labda km unataka msaada kuhusu separation ambayo haina maana ya kuvunja ndoa(divorce)
Siyo hakuna sababu,hajatoa sababu,
Unaongelea legal separation?
 
Siyo hakuna sababu,hajatoa sababu,
Unaongelea legal separation?
Kwny mambo ya sheria huwa hamna kuongeza jambo ambalo halipo.
Kama jambo hilo hajaliweka bayana huwezi ukaanza kutunga kwamba kitu hicho kipo.
Indeed naongelea legal separation kwa maana huwezi ukakimbilia divorce wakat hamna hata legal separation
 
Hivi sheria ya ndoa bongo inaruhusu kuwa na 'pre-nups'?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…