Nisaidie kujua bado upo na hujashindwa na lolote....

glass amo

JF-Expert Member
Joined
Aug 11, 2017
Posts
3,645
Reaction score
4,330
Nampenda ...
Namuamin...
Namuheshimu has a katika kugawa ridhiki na maaamuzi
Yeye akiwa upande wangu nan aloe juu yangu????
Akiamua hakuna wakupinga hata ufanyaje....
[HASHTAG]#mungu[/HASHTAG] pekee
Rafiki yangu wa kweli na hakuna kama yeye chin ya [HASHTAG]#jua[/HASHTAG]
 
yaani ni Mungu yupi anaemsifia? my dear popote uandikapo mungu inamaanisha miungu, Mungu siku zote lazima uanze na herufi kubwa. Hili ndilo najua ndoo maana Demiss hakuelewa
Mungu was mbinguni
All mtoa mwanae wapekee yesu kristo kusulubiwa msalabani kwa ajili ya zambi zetu mom na ww
 
Mungu was mbinguni
All mtoa mwanae wapekee yesu kristo kusulubiwa msalabani kwa ajili ya zambi zetu mom na ww
hiyo keyboard yako ina shida
Yesu Kristo na sio yesu kristo
 
Hahahahh.
Ina wezekana lakini maana n ile ile mkuu
haya mkuu ila kama anavyostahili mpe heshima yake
mbona jina lako tu tunaanza na herufi kubwa lakini? jst mawazo tu usiniataki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…