Unajua,
Khjvb
Unaponunua gari, usiangalie upande wako pekee bali unatakiwa kuangalia na
Mafundi wanaouzoefu gani na gari unalonunua (maana huwezi kuwakwepa wale)
Ukiitumia, ikiwa utaiuza, itakua na thamani gani, napia itakuchukua muda gan
Kuna
Nashukuru mkuu kwa mawazo yako.Unajua,
Unaponunua gari, usiangalie upande wako pekee bali unatakiwa kuangalia na
Mafundi wanaouzoefu gani na gari unalonunua (maana huwezi kuwakwepa wale)
Ukiitumia, ikiwa utaiuza, itakua na thamani gani, napia itakuchukua muda gan
Kuna gari ambazo, , ukinunua ni kama umekula kiapo nazo, huwezi kuachana nazo maana kuiuza inakua changamoto.
Anunue Carina T.I au siyo?Unajua,
Unaponunua gari, usiangalie upande wako pekee bali unatakiwa kuangalia na
Mafundi wanaouzoefu gani na gari unalonunua (maana huwezi kuwakwepa wale)
Ukiitumia, ikiwa utaiuza, itakua na thamani gani, napia itakuchukua muda gan
Kuna gari ambazo, , ukinunua ni kama umekula kiapo nazo, huwezi kuachana nazo maana kuiuza inakua changamoto.
KabisaaaHii gari unaweza mtishia mtoto anywe uji.