Nisaidie mdeni wangu ananisumbua

Nisaidie mdeni wangu ananisumbua

CHIKITITA

JF-Expert Member
Joined
May 1, 2013
Posts
445
Reaction score
158
Mim nina biashara zangu ninazofanya kama shughuli ya ziada ya kujiongezea kipato, kuna mtu alikuja na kuchukua vitu vyenye thamani ya tsh 400000 mwezi wa 12 mwaka jana na makubaliano ilikuwa alipe ndani ya huo huo mwez, jambo la ajabu kila nikimdai alikuwa akinidanganya oooh nitakurushia hiyo hela mara jioni mara kesho, sasa hiv hata simu hapokei na akiona vip anazima kabisa simu, kwa kwel kaniudhi sana nataka nimfungulie mashtaka, naomba msaada sheria inasemaje? nategemea mwongozo wenu ili ikibidi kesho niamkie kituo cha police
 
  • Je kuna ushahidi wowote kuhusiana na makubaliano yenu? CHIKITITA
 
Last edited by a moderator:
Mi kuna jamaa namdai 7.6m toka mwaka juzi bado kidogo ntamroga ti apate busha mpk anirudishie
 
  • Je kuna ushahidi wowote kuhusiana na makubaliano yenu? CHIKITITA

Yaana hakuna mkataba au maandishi yoyote kama ushahidi. what i beliave nikimpeleka polisi hawezi kunikana. nilitaka nimsweke ndani ili ndugu zake waje wamchangie akiwa ndani. inawezekana
 
Last edited by a moderator:
Mi kuna jamaa namdai 7.6m toka mwaka juzi bado kidogo ntamroga ti apate busha mpk anirudishie

Inakera sana, kama unashida omba ija dhuruma ni mbaya sana. Kwanza watu waliozoea dhuruma mwisho wao huwa m,baya sana
 
Nami mmoja kwenye tatizo hili Tunaomba wanasheri mtusaidie mi Nilimkopesha mtu vifaa vya Boba vya lako 9 Tangu January kila cku nabadilishiwa Hadithi,,,! Nataka kumtupa Lupango,,!
 
Back
Top Bottom