ladypeace
JF-Expert Member
- Dec 19, 2012
- 935
- 506
Mimi ni binti mwenye umli wa miaka 29 tokea nilipoamua kujiingiza na maswala ya mahusiano na kuanza kufanya tendo la ndoa sijawahi hisi raha ya tendo hilo hata kidogo.Nilijalibu waeleza lafiki zangu wakanishauli kuwa niachane na mpenzi wangu labda simpendi nimeishi kwa mda nikafall na mtu ninaempenda sana lakini tatizo ni hilohilo tendo hili limekuwa athabu kwangu maana nafanya tu kumlidhisha mpenzi wangu.Mbaya zaidi huwa sipati hamu ya tendo la ndoa hata nikikaa mda mrefu sana bila kuinvolve nalo najisikia tu hamu ya romance na kubembelezwa lakini sex hapana,hii inanipa shida sana kwenye mahusiano maana mpenzi anaweza kuwa ananihitaji mimi wala hata sina mpango nae zaidi naona ananiboa tu.
Naomba nisaidie ninashida ganinaogopa hata kuwazia suala la ndoa maana naona itanishinda.
Naomba nisaidie ninashida ganinaogopa hata kuwazia suala la ndoa maana naona itanishinda.