Nisaidiei kuhusu hili..........!

Nisaidiei kuhusu hili..........!

Tausi.

Senior Member
Joined
Aug 29, 2011
Posts
123
Reaction score
48
Ni matumaini yangu wazima wa afya tele.
Tumshukuru Bwana Mungu wetu kwa hilo.
Nina mdogowangu alimaliza form 4 mwaka 2010,
alipata div 3 ila hatukuweza kumpeleka popote kulingana na uchumi wa familia yetu,
kwa sasa amepata mfadhili wa kumsomesha chuo na
anataka asomee mambo ya laboratory technology, je?? kwa hapa dar
mwenye uelewa wa chuo chochote cha fani hiyo, na isiwe galama kubwa
na ikiwezekana iwe day ninaomba anijulishe ili nifanye mchakato
kwa mwaka kesho aweze kujiunga na chuo.
Asanteni.
 
Kama next year! DIT panamfaa@ ilimrad awe amepass masomo ya science! Over
 
masomo a science alipata c chemi, bio, phy hakuchukua.
 
ni kweli ndugu DIT Mmhh,
ningejua hata kingine kinachohusiana na mambo hayo,
na kinachotambulika na serikal.
 
masomo a science alipata c chemi, bio, phy hakuchukua.

mkuu hapo cna cha kuongezea kwa DIT kama physics hakusoma! Ila jaribu kwingne Mfano;clinical offcr certfcte ila awahi kuomba hiyo mwakan unayosema
 
na ninahisi DIT panaweza kuwa ghalama kubwa!!!! au vip kwa mnokielewa fika.
 
mkuu hapo cna cha kuongezea kwa DIT kama physics hakusoma! Ila jaribu kwingne Mfano;clinical offcr certfcte ila awahi kuomba hiyo mwakan unayosema

Huko kwigine ndio nnapotaka nipaelewe dugu ili nione kama atafanikiwa.
 
Back
Top Bottom