RJ85
Member
- Feb 15, 2013
- 22
- 4
Kijana mmoja aitwae jimmy,alikuwa anaitaji kujifunza sheria kwa mwanasheri akiwa hana pesa ya kughalamia malipo ya ada,
akaomba ajifunze kwa mkataba kwamba atalipa hiyo pesa iwapo akimaliza na kushinda kesi yake kwanza,
alipo maliza kusoma jimmy hakujiusisha na sheria,kwa hiyo uwezekano wa kushinda kesi haukuwepo
mwalim wake akampeleka mahakani kudai haki yake ya kulipwa kutokana na mkataba walioingia na jimmy kuwa atamlipa akishinda kesi yake ya kwanza,
Kabla ya kuitwa mahakamani mwalim alienda kwa mwanafunzi wake kumkejeri
Mwalim"jimyy umejichongea utanilipa kwa namna yoyote ile,iwapo nikishinda kesi ww utakuwa umeshindwa mahakama itamulu unilipe...nikishindwa kesi utakuwa umeshinda,utanilipa kwa mujibu wa mkataba wetu(ukishinda kesi ya kwanza),
hapo huna pa kutokea jimmy twende mahakamani ukanilipe
jimmy... Unajidanya mwalim,nikishinda kesi maana yake sina hatia,sitokulipa.
Na iwapo nikishindwa itabidi usubili kesi nyingine kwa mujibu wa mkataba wetu,
"Intakulipa nikishinda kesi ya kwanza"
Hapa tunafanyaje KISHERIA
akaomba ajifunze kwa mkataba kwamba atalipa hiyo pesa iwapo akimaliza na kushinda kesi yake kwanza,
alipo maliza kusoma jimmy hakujiusisha na sheria,kwa hiyo uwezekano wa kushinda kesi haukuwepo
mwalim wake akampeleka mahakani kudai haki yake ya kulipwa kutokana na mkataba walioingia na jimmy kuwa atamlipa akishinda kesi yake ya kwanza,
Kabla ya kuitwa mahakamani mwalim alienda kwa mwanafunzi wake kumkejeri
Mwalim"jimyy umejichongea utanilipa kwa namna yoyote ile,iwapo nikishinda kesi ww utakuwa umeshindwa mahakama itamulu unilipe...nikishindwa kesi utakuwa umeshinda,utanilipa kwa mujibu wa mkataba wetu(ukishinda kesi ya kwanza),
hapo huna pa kutokea jimmy twende mahakamani ukanilipe
jimmy... Unajidanya mwalim,nikishinda kesi maana yake sina hatia,sitokulipa.
Na iwapo nikishindwa itabidi usubili kesi nyingine kwa mujibu wa mkataba wetu,
"Intakulipa nikishinda kesi ya kwanza"
Hapa tunafanyaje KISHERIA