Jasho la Damu
JF-Expert Member
- Mar 10, 2011
- 956
- 120
Mimi ni kijana wa kiume nina umri wa miaka 24 nafanya kazi ktk ofisi ya Serikali nisingependa kuitaja kwa usalama wangu. Nimekuwa nikisumbuliwa na bosi wangu wa kike aliyenizidi miaka 9 kiumri na amezaa mtoto mmoja wa kiume lkn hana mume. Bosi huyu anitaka kimapenzi na siku zote huwa ananifanyia visa vya ajabu, utakuta ananitumia msg za ajabu usiku eti anaomba nimpeleke Soda moja na mayai mawili ana hamu nayo sana. Mara nyingine huwa ananipa kazi mpaka jioni ili tubaki wawili tu ofisini na kuanza visa vyak