Jasho la Damu
JF-Expert Member
- Mar 10, 2011
- 956
- 120
kimbia wala usiangalie nyuma; ikimbieni zinaapole kijana ndo utu uzima huo. Huyo mchumba wako anajua kama huyo mama anakutaka? Kama hajui me nakushauri rudi kwa huyo bosi wako mkubalie hlf mpe mambo kisawa sawa yaani msugue haswa ikiwezekana unywe vile vinywaji vyetu ndo uingie nae kwenye mechi akitoka hapo anakukabidhi mafaili yote ya ofisi wewe ndo unakuwa bosi. Usichezee bahati mdogo wangu itumie hiyo uwe tajiri.
Duh mkuu kweli unajua kutumia opportunity.Niunganishe naye mimi ataacha kukusumbua
Mchumba wangu bado hajajua. ila kaka ushauri wako huu dah anyway i respect u.Pole kijana ndo utu uzima huo. Huyo mchumba wako anajua kama huyo mama anakutaka? kama hajui me nakushauri rudi kwa huyo bosi wako mkubalie hlf mpe mambo kisawa sawa yaani msugue haswa ikiwezekana unywe vile vinywaji vyetu ndo uingie nae kwenye mechi akitoka hapo anakukabidhi mafaili yote ya ofisi wewe ndo unakuwa bosi. Usichezee bahati mdogo wangu itumie hiyo uwe tajiri.
Dah sasa sijui itakuaje napendwa na wawili nami nampenda mmoja tu.acha zako za kimasai bana,........mpende akupendae na siyekupenda,.........
niunganishe naye mimi ataacha kukusumbua
Pole kijana ndo utu uzima huo. Huyo mchumba wako anajua kama huyo mama anakutaka? kama hajui me nakushauri rudi kwa huyo bosi wako mkubalie hlf mpe mambo kisawa sawa yaani msugue haswa ikiwezekana unywe vile vinywaji vyetu ndo uingie nae kwenye mechi akitoka hapo anakukabidhi mafaili yote ya ofisi wewe ndo unakuwa bosi. Usichezee bahati mdogo wangu itumie hiyo uwe tajiri.
Duh, ushauri mwingine utafikiri unatoka kuzimu!!!Pole kijana ndo utu uzima huo. Huyo mchumba wako anajua kama huyo mama anakutaka? kama hajui me nakushauri rudi kwa huyo bosi wako mkubalie hlf mpe mambo kisawa sawa yaani msugue haswa ikiwezekana unywe vile vinywaji vyetu ndo uingie nae kwenye mechi akitoka hapo anakukabidhi mafaili yote ya ofisi wewe ndo unakuwa bosi. Usichezee bahati mdogo wangu itumie hiyo uwe tajiri.
haaaah haaah Bi kiroboto, sura kama shetani!analipa huyo boss? asije akawa kama yule wa Bungeni pale sijui spika sijui nani?
He he hee kazi ipomkuu nimeipenda hii...isitoshe na wewe dogo...kwa nini usimbandue???...hivi haya mazali mbona yanawadondokea mabazazi???