wakuu nawasalim,tatizo langu ni kwamba tuna kampun yetu mimi na kaka yangu inajishughulisha na electrical repairs,instillations,repairs of ac and generetors,ina wafanyakaz watano,kampun yetu ina mwaka mmoja tu japo kabla ya hapo tulikua tukifanya kaz japo haikua rasmi naomben ushauri jinsi ya kufanya niweze kupata tenders maana tumekua tukifanya kazi ndogondogo tu ambazo hazikidhi gharama za kuendesha kampuni hata kuwalipa wafanyakaz imekua ni tatizo kwa sasa
<br /><br />
<br /><br />
Pole sana kamanda! Kupa wateja kunahitaji uwe na mtandao mkubwa!<br />
Lakini semu kuu ya kupata wateja ni kuwajua makandarasi wenzio!<br />
<br />
Kesho tarehe 5 mpaka tarehe7 bodi ya makandarasi CRB imeandaa semina ya Makandarasi wote tz itafanyika mlimani city na mgeni rasmi anatarajiwa kuwa Rais Kikwete nakuomba uhudhurie ikiwezekana tuonane mkuu! 0715865544/0755...<br />
<br />
COMPANY PROFILE<br />
· Legal Status:<br />
YECCO (T) LIMITED was registered and incorporated under the Companies Act No. 12 of 2002 Cap 212 of the United Republic of Tanzania and holds a Certificate of Incorporation No.72307 of August 2009.<br />
<br />
· Office particulars:<br />
Business Name: YECCO (T) LIMITED.<br />
Postal Address: P.O.Box 25295, Dar es Salaam<br />
Cell: +255755865544/ +255715865544<br />
Email: yeccotltd@yahoo.com<br />
Our office is allocated at Samora Avenue Street, Plo.35k/ Blo.342ks. With modern<br />
WORKSHOP full equipped for fast and timely repair. The company holds all relevant<br />
documents as required by Tanzania Government.<br />
· Understanding<br />
Our approach to all client services is founded on our understanding of business needs and problem within our country and environment. We only render service, which we believe to be beneficial to our client. Our understanding of local business environment and the vast expertise and experience of our staff, place YECCO (T) LTD in a strategic and advantage position to fruitfully execute any project in areas of information technology.<br />
· Technical<br />
The company main target is to provide reliable, faster and cost effective services in<br />
Electrical, computing and communication industry to both public and private sector. We offer consultancy services, skilled and well trained workmanship in the field of Information Technology from installation, maintenance and services to agencies within Tanzania. Service rendered includes; communication equipment installations, Network (both structural and general networking), service to communication equipment and maintenance in general.<br />
<br />
Nimekupa kipande cha Company Profile <br />
<br />
Waweza kuingia hapa ili kuijua vizuri!
YECCO (T) LIMITED Details http://bit.ly/qYJI1s