yani ilikua ajari mbaya sana nikajikuta nimeoa mke,ambaye muda mfupi bdae nikagundua hanifai,nakiri nilikurupuka,simmaind *ila yy hajui na sitaki agundue mapema,ananipenda ila me no! so nataka njia ambayo haina mafarakano ya muda mrefu na nikimuacha nisipate lawama mazee watu wote wakubali.*ila kumbuka sbb ya kutaka kumiacha sio tamaa,moyo wangu hauna tabia hazendani,sijisikii kuwa nampenda nk.
yani ilikua ajari mbaya sana nikajikuta nimeoa mke,ambaye muda mfupi bdae nikagundua hanifai,nakiri nilikurupuka,simmaind *ila yy hajui na sitaki agundue mapema,ananipenda ila me no! so nataka njia ambayo haina mafarakano ya muda mrefu na nikimuacha nisipate lawama mazee watu wote wakubali.*
hv ww unataka nife na ukimwi kwa kutembea nje,huoni bora*nimuache ili awe safe,na mm niwe na mwingine kwa kwa utulivu wa mwili na roho,naiita ajari coz sijawahi kuwaza *kuna siku nitaoa na kutoka nje siipendi hiyo tabiaUna wazo finyo sana watu wanajitahidi kujenga wewe unabomoa bora ufe mkeo abaki mjane kuliko upupu unaotaka kufanya.
mueleze hisia zako kama ulivyoeleza hapa
labda yaya atakuwa na ushauri bora zaidi
kama kqweli huyo mwanamke anakupnda, fikiria mara mbili kabla hujamwacha. Kumpata mtu anayekupenda siku hizi ni kitu kigumu kuliko mpunga kuota jangwani. nakushauri, badala ya kiufikiria kumwacha, fikiria jinsi ya kumzawadia mtu anayempenda mtu asiyempenda. nadhani kuna mwanamke mwingine umemuona ndiye anasumbua akili yako. Nakuona unaruka jivu, utakapokanyaga, nakuhakikishia, patakuwa na makaa ya motoyani ilikua ajari mbaya sana nikajikuta nimeoa mke,ambaye muda mfupi bdae nikagundua hanifai,nakiri nilikurupuka,simmaind *ila yy hajui na sitaki agundue mapema,ananipenda ila me no! so nataka njia ambayo haina mafarakano ya muda mrefu na nikimuacha nisipate lawama mazee watu wote wakubali.*ila kumbuka sbb ya kutaka kumiacha sio tamaa,moyo wangu hauna tabia hazendani,sijisikii kuwa nampenda nk.
yani ilikua ajari mbaya sana nikajikuta nimeoa mke,ambaye muda mfupi bdae nikagundua hanifai,nakiri nilikurupuka,simmaind *ila yy hajui na sitaki agundue mapema,ananipenda ila me no! so nataka njia ambayo haina mafarakano ya muda mrefu na nikimuacha nisipate lawama mazee watu wote wakubali.*ila kumbuka sbb ya kutaka kumiacha sio tamaa,moyo wangu hauna tabia hazendani,sijisikii kuwa nampenda nk.
Hebu niwafafanulie vzuri huyu mke nilichguliwa nilipokwenda kutembelea kjjn kwetu, nilishawishiwa na wkubwa zangu,nikajikuta nimeoa but sikushikiwa bastola ningeweza kumkataa ningependa,ila nilifoswa lazima nirudi na mke kutoka hapo