Nisaidien mbinu nzuri nataka kuacha mke

siku nyingine usiwe unakuja tena kuomba ushauri humu...nadhan haya majibu yemekuvuruga vya kutosha
 
Usituchoshe bana... Ungeleta thread ya kutuuliza ushauri namna ya kuzuia hiyo ajali ya kumuoa (kama ni ajali kweli). Sasa we ushalea mwiba, guu limeota tende unatuletea. Nikuhakikishie tu hata tukushaurije, hutaweza kumuacha...
 

Katika wapumbavu na wewe ni namba 1, yaani umembanjua mpaka umemchoka sasa umeona hakufai! Unaruka mkojo lazima utakanyaga mavi wewe! Anyway, fanya hivi: jenga uhusiano wa karibu na rafiki yako wa kiume, umtambulishe kwake, them umpe huyo rafiki yako namba za mke wako, umpe fungu la kutosha kufanya kazi ya kumtongoza mpaka akubali, akishakubali na kupeana miadi jamaa akufahamishe watakutana wapi, gesti gani chumba gani na saa ngapi, then utie timu hapo hakuna ujanja. Kama vipi nishirikishe mimi mwenyewe unitambulishe kwa mkeo, unipe namba zake, pamoja na pesa za kutosha ya kumtongoza nakulipia gesti! Hata nikimbanjua nitakuambia mkeo mgumu hakubali, huku mi nabanjua kama kawaida.
 
hv ww unataka nife na ukimwi kwa kutembea nje,huoni bora*nimuache ili awe safe,na mm niwe na mwingine kwa kwa utulivu wa mwili na roho,naiita ajari coz sijawahi kuwaza *kuna siku nitaoa na kutoka nje siipendi hiyo tabia
kama shida ndiyo hiyo kwanini usiombe ushauri wa kuboresha nyumba yako unaomba wa ku bomoa.itakuwa jambo la busara kama maamuzi yako utayafanya ndani ya miaka kumi kuwaza juu ya unalotaka kufanya then ndo uchukue hatua kila la heri
 
Nipe contact zake mkuu mi nikimubandua tu nae hatakupenda tena hivyo mtaachana kimyakimya!

Kweli we mpumbavu sana! Sie tunatafuta anaetupenda wakuoa we unatafuta ushauri wa kuacha?!!
 
Kabla ya kukupa mbinu za kumuacha mke wako tupe sababu zilizo kufanya mpaka umuowe? jambo la pili una umri gani? jambo la Tatu tangu umuowe mumesha ishi nae muda gani? je wewe umesha chuma nae? je wewe na yeye .mke wako muna dini gani? Mkuu Natanguliza hayo Mkuu wangu yahoo.
 

Kwa kuwa ilikuwa ajali kumuoa, unataka umuache kisa ulikurupuka, hutaki wazee wakasirike, unataka mkeo akusahau baada ya mda mfupi then kill urself, itakuwa ajali pia na utatengana na mkeo bila tabu na utasahaulika after 3 days na mjeo atakaa eda 40 days then atakusahau. Do it and nobody will blame u otherwise unatakiwa uendelee kukaa na mkeo, ulikurupuka au kukurupushwa its up to u...usimwaribie mwenzio lyf...usimpotezee mwenzio muda....na usimtie mwenzio doa la kuachwa...km ulikurupuka kumuoa angalia usikurupuke kumuacha afu bdae ukakurupuka kutaka kumrudia ukakuta umechelewa. IF ITS SWEET OR BITTER U MUST SWALLOW IT CUZ U CHOSE IT.
 
mi naona endelea nae tu maana wewe inaonekana kabla ya kula tunda ulimtamani, jilazimishe kumpenda
 
Tehtehtehe Mungi Waswahili husema hivi (Mkuki kwa nguruwe? Kwa Binadamu ni mchungu) sasa wewe unasema unataka awe Rafiki yako ili umbandue mke wake Makubwa hayo je akikwambia na wewe umuonyeshe mke wako au mpenzi wako utakubali ili ambandue ?umenifanya siku yangu ya leo nicheke sanaaaaa Makubwa hayoo
 

Mkuu mi mpenzi wangu nampenda, siwezi mpa namba zake, ila kwa kuwa yeye hamtaki wa kwake, nipo tayari kumla uroda hata kama ana sura ngumu kama mjeshi.
 
very simpo kumuacha..... tangulia kaburini....
yeye hata akifuata hamtazikwa kaburi moja.
hapo utakuwa umemwacha kwani
muendako hakuna kuoa wala kuolewa
 
Kamwambie kuwa humpendi, naamini kama ni mwanamke anaejitambua atakwambia umuache mara moja

( ya nini kujipa dhiki ya kukaa na lijitu halikupendi wakati wanaweza kukupenda wamejaa tele!)
 

Pole, tamaduni zinatofautiana. Ulaya na n.k ukifunga ndoa:
  1. Unapewa na cheti cha ndoa, ila unaambiwa
  2. Ukishindwa muachane, hulazimishwi kuendelea kuwa na mtu usiyempenda,
Ushauri..........Bora mkaachana mapema ili kila mtu atafute ampendaye, kwani maisha ni mafupi na mke hatakupeleka mbinguni kwa dini yeyote!!
 
Ashakum si matusi, ww ni mpumbavu! naomba nikuhoji! Je ulifunga ndoa kanisani, msikitini au Bomani?
Kama ni kanisani, hilo wazo lako la kishetani haliwezekani kabisa! Kama ni msikitini au Bomani nadhani linawezekana maana huko wanaruhusu talaka.
mm nakuona mpumbavu kwa sababu sababu ulizotoa za kumwacha mkeo ni za kijinga kabisa! Kumbuka Ndoa inatakiwa iheshimiwe na watu wote! kama maandiko matakatifu ya mungu yanavyosema!
 
Mwalimu JKN alisema,ukishatenda dhambi ya ubaguzi kamwe haitoisha ni sawasawa na kula nyama ya mtu,ukishakula ndo basi utaendela kula:::Simply ukishamuacha tu huyo then utaacha tena na tena,solution si kutengana bali ni kusettle down differences and love imperfect person perfect
 
Iyo si ajali yalikua maamuzi yako mwenyewe, kumbuka malipo ni hapa hapa duniani, waweza kwenda kwa unaempenda na yeye asikupende na wala asikwambie badala yake awe anamegwa nje tu, najua kuna kimada unahisi kumpenda nakushauri achana nae na endelea kua karibu na mkeo lazima kuna 80% ya vitu utakua unavipenda concentrate hapo hapo huku ukirekebisha vile ambavyo huvipendi....mungu atakubariki na kukulinda
 
Tuwekee namba yake/zake za simu 2rushe ndoano zetu tusojaaliwa kupendwa, then utupie sababu kuwa unahc anamahusiano na kidume kingine.
 
Umeongea ukweli mtupu mkuu, asikurupuke kumuacha then ajeajilaumu na kutaka kumrudia tena, wakati wake utakuwa umepita.

Kwa kuwa ilikuwa ajali kumuoa, unataka umuache kisa ulikurupuka, hutaki wazee wakasirike, unataka mkeo akusahau baada ya mda mfupi then kill urself, itakuwa ajali pia na utatengana na mkeo bila tabu na utasahaulika after 3 days na mjeo atakaa eda 40 days then atakusahau. Do it and nobody will blame u otherwise unatakiwa uendelee kukaa na mkeo, ulikurupuka au kukurupushwa its up to u...usimwaribie mwenzio lyf...usimpotezee mwenzio muda....na usimtie mwenzio doa la kuachwa...km ulikurupuka kumuoa angalia usikurupuke kumuacha afu bdae ukakurupuka kutaka kumrudia ukakuta umechelewa. IF ITS SWEET OR BITTER U MUST SWALLOW IT CUZ U CHOSE IT.[/QUOTE]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…