Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Manenohayo yana maana moja isipokuwa asili tofauti. Uzinzi ni neno lenye asili ya kiswahili (kibantu) lenye maana ya ugoni. Zinaa lina asili ya Kiarabu likimaanisha jambo lilelile.
vina maanisha kitu kimoja, kulala na mwanamke ambaye si wako. labda ungekuja na issue kutofautisha zinaa/uzinzi na uasherati...ningekuwambia uasherati ni kufanya mapanzi kabla ya kuoa...Mungu anasema, waasherati na wazinzi hawataurithi uzima wa milele.
vina maanisha kitu kimoja, kulala na mwanamke ambaye si wako. l.