SHIEKA
JF-Expert Member
- Dec 20, 2011
- 8,240
- 4,265
Enyi wataalam wa Kiswahili. Naomba msaada wa hili neno: Noma. Najua maana yake lakini hapa JF neno hili huandikwa kwa spelling tatu tofauti kama: 1. noma 2.nouma 3noumer Mimi najua spelling namba 1 ndiyo sahihi hasa ila namba 2 na 3 ni spelling ya kifaransa na kutamka ni numa kwa namba 2 na 3. Je huu ni upotoshwaji wa bahati mbaya au makusudi? Na madhumuni yake ni nini? Nawashukuru