nisaidieni hili wauungwana

nisaidieni hili wauungwana

mps

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2013
Posts
406
Reaction score
584
nilimwekea mdhamana mdogo wangu mtoto wa mama mdogo aliyekuwa anakabibiliwa na kesi ya madai ya kampuni ya airtel aliyoisababishia hasara ya tsh laki nane baada yapo jamaa katoloka na nimeambiwa kakimbilia mkoa wa mbali je nifanyeje ili kukiepuka kikombe hiki maana niko chuo kwa sasa na nahitaji kumalizia masomo yangu mezi wa sita naombeni uhauri weni wa kisheria
 
nilimwekea mdhamana mdogo wangu mtoto wa mama mdogo aliyekuwa anakabibiliwa na kesi ya madai ya kampuni ya airtel aliyoisababishia hasara ya tsh laki nane baada yapo jamaa katoloka na nimeambiwa kakimbilia mkoa wa mbali je nifanyeje ili kukiepuka kikombe hiki maana niko chuo kwa sasa na nahitaji kumalizia masomo yangu mezi wa sita naombeni uhauri weni wa kisheria

Ulipomuwekea dhamana ulifanya nini:
1. Ulilipa hela taslimu?
2. Ulikabidhi hati ya umiliki wa mali yako?
3. Utu wako (kama unajulikana)?
4. n.k.

Dhamana maana yake ni kuwa mtuhumiwa anapoingia mitini mdhamini anapaswa kumtafuta au kulipa gharama za kumtafuta. Mara nyingi mali (hela) inayowekwa kama dhamana ndiyo inayotumika na mahakama kugharimia kumtafuta mtuhumiwa.

Sasa una mawili ya kufanya:
1. Kamtafute ndugu yako umlete mahakamani.
2. Korti itumie mali uliyoweka kumtafuta na/au kumlipa mlalamikaji.

Esquires, fanyeni marekebisho kama nimekosea.
 
Back
Top Bottom