NYENJENKURU
JF-Expert Member
- Feb 11, 2011
- 1,066
- 294
Kuna rafiki yangu wa karibu sana, mke wake hv majuz aliamua kumwachia mtoto wa miez 8 na kusafiri kuja Dar kwa madai ya kuja kumwona mamdogo wake, lakin hakufika hata kwa mamdogo badala yake alienda kwa mwanaume kulala nae usiku kucha jamaa alipompigia sim usiku alipokea mdume, hebu msaada wenu wana jf.
Je ushauri waachane? Au jamaa avumilie amsamehe? Ila mm niliona ntavunja ndoa, ingekua ni mimi ningeshamwacha siku mingi sana.
Kuna rafiki yangu wa karibu sana, mke wake hv majuz aliamua kumwachia mtoto wa miez 8 na kusafiri kuja Dar kwa madai ya kuja kumwona mamdogo wake, lakin hakufika hata kwa mamdogo badala yake alienda kwa mwanaume kulala nae usiku kucha jamaa alipompigia sim usiku alipokea mdume, hebu msaada wenu wana jf.
Kuna rafiki yangu wa karibu sana, mke wake hv majuz aliamua kumwachia mtoto wa miez 8 na kusafiri kuja Dar kwa madai ya kuja kumwona mamdogo wake, lakin hakufika hata kwa mamdogo badala yake alienda kwa mwanaume kulala nae usiku kucha jamaa alipompigia sim usiku alipokea mdume, hebu msaada wenu wana jf.
Mbaya zaidi mkuu, mtoto alisumbua sana usiku ule alilia sna utadhani alijua mama ake anachokifanya kwa wakati ule. Hii ni laana sijawahi ona.
Coz huyu mwamke alienda dar kiubabe hakurusiwa na mumewe, kumbe alikuwa amepewa promise tayari so it wa too difilcut to postpon.
Kuna rafiki yangu wa karibu sana, mke wake hv majuz aliamua kumwachia mtoto wa miez 8 na kusafiri kuja Dar kwa madai ya kuja kumwona mamdogo wake, lakin hakufika hata kwa mamdogo badala yake alienda kwa mwanaume kulala nae usiku kucha jamaa alipompigia sim usiku alipokea mdume, hebu msaada wenu wana jf.
pole mkuu inaonekana ni wewe ndo uliyekutwa na huu mkasa...................................
ndio utu uzima huo kaka....................huyo sio mke......................
mwambie avumilie
upendo hushinda yoote.
Huyo dada alikuwa kwenye basi akapitiwa usingizi, jirani yake akaona ampokelee simu.